Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d602722437514f22ca6fc7b2ab9dacb1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jinsi ya kupika Mkate wa sinia
Date: December 28, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Unga wa mchele (rice flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 3/4 ya kikombe cha chai)
Hamira (dried yeast 3/4 kijiko cha chakula)
Hiliki (cardamon powder 1/2 kijiko cha chai)
Ute wa yai 1(egg white)
Tui la nazi (coconut milk kikombe 1 na 1/2 cha chai)
Mafuta (vegetable oil)
Matayarisho
Changanya unga wa mchele, hamira, hiliki na tui la nazi pamoja katika bakuli la plastic kisha koroga vizuri. Ufunike na uwache katika sehemu ya joto mpaka uumuke.(ambayo inaweza kuchukua kama dakika 30-45. Ukisha umuka tia sukari na ute wa yai kisha ukoroge vizuri. Baada ya hapo washa oven katika moto wa 200°C kisha chukua chombo cha kuokea na ukipake mafuta na umimine mchanganyiko. Kisha utie katika oven na uoke kwa muda wa dakika 40. Hakikisha unaiva na kuwa rangi yabrown juu na chini. Na hapo mkate utakuwa tayari.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d602722437514f22ca6fc7b2ab9dacb1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Mchele 2 vikombe vya chai
Choroko kikombe 1 na 1/2
Nazi kopo 1
Sw...
Read More
Mahitaji
Mchele wa basmati - 3 vikombe
Kuku - ½
Viazi - 4
Vitunguu - 2...
Read More
Virutubishi
ni viini vilivyoko kwenye chakula ambavyo vinauwezesha mwili kufanya kazi zak...
Read More
Mahitaji
Mbatata / viazi - 2 kilo
Nyama ng’ombe - ½ kilo
Kitunguu maji - 2...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Hamira (yeast kijiko 1 ...
Read More
Nguvu ya Nafaka Zote: Chaguzi za Upishi Zenye Afya 🌾
Nafaka zimekuwa chakula kikuu kati...
Read More
Mahitaji
Dagaa wabichi (Fresh anchovies packet 1)
Unga wa ugali (corn meal flour 1/4...
Read More
MAHITAJI
Mayai 5
Sukari 450gm (1 lb)
Unga wa Ngano 1 kg
Siagi 450gm (...
Read More
Mahitaji
Mchele (Basmati rice) 1 kilo
Vitunguu (chopped onion) 2 vikubwa
Garlic...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour) vikombe 2 na1/2
Sukari (sugar) 1/2 kikombe...
Read More
Mahitaji
Filigisi (chicken gizzard) 1/2 kilo
Carrot iliyokwanguliwa 1
Nyanya 1/...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga - 3 Vikombe vya chai
Siagi - 250 gms
Baking powder - 3 Viji...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!