Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9758d97e0091f59f02db64bd520ba1af, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jinsi ya kupika vitumbua inavyotakiwa
Date: December 6, 2023
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Unga wa mchele ( Vikombe 2 vikubwa)
Sukari (Nusu ya kikombe kikubwa)
Hamira ( Nusu ya kijiko cha chai)
Hiliki (Nusu ya kijiko cha chai)
Tui la nazi ( Kikombe kimoja kikubwa)
Unga wa ngano (Vijiko viwili vya chakula)
Mafuta ya kuchomea (Vegetable oil)
Matayarisho
Unachanga unga, sukari, hamira, hiliki, unga wa ngano na tui la nazi pamoja katika bakuli la plastiki. Kisha unaukoroga mpaka mchanganyiko unakuwa kama uji mzito. Kava bakuli lililokuwa na mchanganyiko kisha hifadhi katika sehemu yenye joto kwa muda wa masaa matatu.
Jinsi ya kupika
Weka chuma cha kuchomea vitumbua katika moto wa wastani, kisha weka mafuta kwenye chuma cha kuchomea ( Kijiko kimoja cha chai) mafuta yakisha pata moto tia uji wako (upawa mmoja) katika kila shimo la chuma cha kuchomea. Acha mpaka kitumbua kikauke kisha geuza na tia mafuta. Acha upande wa pili wa kitumbua mpaka uwe rangi ya kahawia na hapo kitumbua kitakuwa kimeiva utakitoa. Rudia hatua hizo kwa vitumbua vyote vilivyobaki.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9758d97e0091f59f02db64bd520ba1af, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Tambi za mayai ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kuandaa pale ninapokua ninaharaka au sina...
Read More
Viamba upishi
Maziwa ya unga 2 vikombe
Sukari 3 vikombe
Maji 3 vikombe
...
Read More
Mahitaji:
Unga sembe glass 1
Unga ngano glass 1
Sukari glass 1 (unaweza kupungu...
Read More
MAHITAJI
Wafer Powder/gram wafer (unga wa biskuti uliosagwa wa tayari) - vikombe 2
...
Read More
Mahitaji
Viazi (potato) 1/2 kilo
Mafuta ya kukaangia (veg oil)
Chumvi
Mahitaji
Dagaa (dried anchovies packet 1)
Unga wa ugali (corn meal flour 1/4 kilo) (...
Read More
Mahitaji
Mchele wa Basmati /Pishori - 4 vikombe
Kuku
Vitunguu - 3
Nyany...
Read More
Viamba upishi
Mashonanguo mkono 1
Tui la nazi kikombe 1
Karanga zilizosagwa kik...
Read More
Viambaupishi
Sosi Ya tuna
Tuna (samaki/jodari) 2 Vikopo
Vitunguu (kata kata) ...
Read More
Mahitaji
Ndizi laini (Matoke 6)
Viazi mbatata (potato 3)
Samaki wabichi wa wast...
Read More
Viamba upishi
Unga wa ngano 1 Kilo
Siagi ΒΌ kilo
Mayai 2
Kastadi (custa...
Read More
Mahitaji
Nyama Ya Mbuzi - 1 Kilo
Mchele - 4 Magi
Vitunguu - 3
Nyanya - ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!