Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_16b5590734ede4a5eb9ad1519a02c5ff, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Madhara ya sigara na pombe kwa mtoto
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Watoto hawatakiwi kunywa pombe wala kuvuta sigara!
Watoto hasa ndio wapo katika hatari zaidi ya kupata madhara
yatokanayo na uvutaji sigara na unywaji pombe, kwa sababu
bado wanaendelea kukua. Wanaweza wakaathiri miili yao na ubongo
kwa maisha yao yote. Wana hatari zaidi ya kuathirika katika
maendeleo yao ya kijamii na kisaikolojia. Matumizi mabaya ya pombe
na sigara yanaweza yakaleta madhara katika makuzi ya mtoto.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_16b5590734ede4a5eb9ad1519a02c5ff, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Wasichana na wanawake wanaweza kulewa kwa ujumla.
Mara nyingi, hulewa pombe haraka kuliko wa...
Read More
Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Karibu kwenye makala hii a...
Read More
Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambo
la kwanza ni ukeketaji ambao ni ...
Read More
Kwa wanaume wengi, kazi na majukumu ya kila siku yanaweza kupunguza muda wa ubunifu na msichana w...
Read More
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, uaminif...
Read More
Wakati wa kutumia kondomu ya kiume ni muhimu kufuata hatua zifuatazo. Hakikisha kwamba pakiti ina...
Read More
Ndiyo msichana anaweza kupata mimba kwa kujamiiana mara
moja tu bila kujali ana rangi gani y...
Read More
Serikali inatakiwa iamue kuwepo kwa matangazo ya biashara
ya pombe na sigara au la? Serikali...
Read More
Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Swali hili lin...
Read More
Nani na lini unaoa ni maamuzi yako binafsi wewe mwenyewe,
hata kama rafiki na wazazi wanakus...
Read More
Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Jibu ni ndiyo, kuna...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!