Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b43ab18223cf9f88b03048dcec693236, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Magonjwa yatokanayo na sigara
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kuna matatizo na magonjwa mengi na ya aina mbalimbali
unayoweza kuyapata kutokana na utuvaji wa sigara. Kiungo
rahisi kuathirika ni mapafu. Baada ya kuvuta huo moshi, kaboni
na tindikali iliyomo kwenye tumbaku huishia kwenye mapafu.
Malimbikizo haya ya kaboni na tindikali husababisha ugumu
katika kupumua na kusabisha usaha kwenye mapafu. Matatizo
haya ya mapafu humfanya mvutaji awe mwepesi kupata
maambukizo mengine.
Hii inaweza ikawa kikohozi sugu na pia inaweza kusababisha
nimonia (kichomi) pamoja na kifua kikuu na sarakani. Nikotini
vilevile ni mbaya kwa tumbo. Husababisha kupoteza hamu ya
kula na maumivu katika sehemu za chini ya tumbo.
Unaweza ukaona kwamba wavutaji wakubwa wa sigara wakawa na
meno meusi au machafu. Hii ni kwa sababu kaboni imejilimbikiza juu
ya meno, na hivyo kubadilika kwa rangi. Watu wanaovuta mara kwa
mara hutoa harufu mbaya mdomoni na hupata matatizo ya ngozi.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b43ab18223cf9f88b03048dcec693236, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana
Mawasiliano ni muhimu katika kila uhusia...
Read More
Habari za leo wapendwa wasomaji! Leo, tunajadili kuhusu je, watu wanapendelea kujaribu kufanya ma...
Read More
Je, Ni Vipi naweza Kukabiliana na Hisia za Kutokuwa Tayari kwa Ngono? π
-
Kwanz...
Read More
- Je, ualbino unaambukiza? β¦β¦β¦.. Hapana
- Ualbino ni ugonjwa? β¦β¦β¦..HapanaRead More
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika? Hil...
Read More
Je, unafikiri ni muhimu kuwa na uelewa wa masuala ya afya na usalama katika ngono/kufanya mapenzi...
Read More
Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino...
Read More
Kuna aina nyingi za unyanyasaji wa jinsia na unaweza kutokea
kwa wote wanaume na wanawake. Kwa kawai...
Read More
Siyo rahisi kusema ni nani anayestarehe zaidi ya mwenziwe, kwa sababu starehe inayotokana na mwan...
Read More
Neno βbikiraβ ni mtu yeyote ambaye hajawahi kujamii ana maishani mwake, awe mwanamke au mwana...
Read More
Neno VVU ni i virusi au vijidudu vinavyosababisha ugonjwa wa UKIMWI. Neno hili kwa lugha ya Kii nger...
Read More
Inakuwaje mtoto anakuwa wa kike au wa kiume?
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!