Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c86cb18cf656bb5a159c6fac07e1549b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Je, pombe ni moja ya sababu za kuenea kwa Virusi vya UKIMWI na VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Matumizi mabaya ya pombe ndiyo yanayosababisha kuenea kwa
VVU au magonjwa mengine yatokanayo na kujamiiana. Tabia
ya ulevi ya kupindukia huwaweka watu katika hatari kubwa ya
kupata na kueneza magonjwa haya.
Pombe husababisha watu kusahau hatari ya kuwa na wapenzi
wengi na pia kufanya mapenzi na watu ambao hawafahamu hali
za afya zao. Husahau kujilinda wao wenyewe na wapenzi wao, kwa
kutumia kondomu na kusahau majukumu yao ya familia.
Watu wanaokunywa pombe kupita kiasi hudhoofisha mfumo wa
kinga mwilini, hivyo basi, virusi huingia miilini mwao kirahisi.
Kumbuka, bado hakuna tiba ya UKIMWI. Njia pekee ya kinga
ni kubadili tabia.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c86cb18cf656bb5a159c6fac07e1549b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Lengo kuu la kujamiiana ni kutafuta watoto. Lakini si sababu pekee. Sababu hizo ni pamoja na;
...
Read More
Kuomba msichana awe rafiki yako si jambo rahisi kama inavyoweza kuonekana kwa wengi. Hata hivyo, ...
Read More
Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Karibu kwenye makala hii a...
Read More
Kupata mazungumzo ya kuvutia kwa msichana unayempenda kunaweza kuwa changamoto kubwa kwa wanaume ...
Read More
Je, nini imani ya watu katika kujaribu njia za kutanua wigo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mape...
Read More
Habari wapenzi wa blogu yetu! Leo, tutazungumzia suala la ngono na wakati bora wa kufanya mapenzi...
Read More
Kuchagua tarehe ya kuvutia na msichana inaweza kuwa changamoto sana, lakini kwa bidii na uwezo wa...
Read More
Je, unyenyekevu una jukumu muhimu katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?
Kwa wengi, ngo...
Read More
Je, umewahi kujiuliza watu wana amini nini katika kutumia vifaa vya ngono/kufanya mapenzi? Kuna m...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Mawazo yasiyofaa kuhusu Ngono? 🤔✋
-
Jua vipaumbele v...
Read More
Kama umeamua kutovuta sigara wala kunywa pombe ni uamuzi
mzuri sana na wa kiafya. Ni haki ya...
Read More
Ndiyo, mwanaume ambaye ana uwezo wa kumwaga mbegu bila shida anaweza kuwa mgumba. Kutokuwa mgumba...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!