Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd2b4c4f9132a3d8e10f3d0eab2192a6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Ni kwa nini ni vigumu kuacha kuvuta sigara?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya lolote bila ya kutumia.
Kwa upande wa sigara unaweza kuzoea hali yake ya kukutuliza na
hali ya kutamani kila unapojisikia. Kwa wengi hamu hiyo hutokea
baada ya kazi nzito, pamoja na pombe, au baada kula. Kwa hiyo,
kama unataka kuacha uvutaji wa sigara inabidi ubadili tabia na
kuepuka vishawishi na pia kupambana na nafsi na matamanio
yako. Hii ni hatua kubwa inayohitaji msimamo mkali.
Utakapoanza kupunguza matumizi ya sigara au kuacha kabisa
utajisikia mpweke au mkiwa. Hali hii inaweza ikawa mbaya na
kuumiza. Mara nyingi utajihisi kujawa na wasiwasi, utakosa
usikivu, utajisikia kusinzia ingawa utakosa usingizi usiku,
mapigo ya moyo hushuka na pia shinikizo. Hamu ya kula na
uzito kuongezeka iwapo utendaji wako wa kazi hupungua.
Ukishatawaliwa na sigara basi kuvuta kwako si tabia bali ni
ugonjwa. Watu wengi wanaotegemea nikotini hawavuti kwa
starehe inayoletwa na starehe ya uvutaji, bali kuepuka maumivu
yanayosababishwa na kuacha sigara.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fd2b4c4f9132a3d8e10f3d0eab2192a6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kila njia ya kuzuia mimba ina faida na hasara zake. Kwa mfano faida ya vidonge ni kwamba kama mwa...
Read More
Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vipira (IUD)?
Karibu sana! Leo tut...
Read More
Habari wapenzi wa blogu yetu! Leo, tutazungumzia suala la ngono na wakati bora wa kufanya mapenzi...
Read More
Jambo la msingi ni kutokukata tamaa na kuwa na matumaini. Mara nyingine i inasaidia kama utakuwa ...
Read More
Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaum...
Read More
Sifa Bora za Mwanamke: Jinsi ya Kumvutia Msichana Sahihi
Kila mwanaume anatamani kumpata m...
Read More
Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana
Mawasiliano ni muhimu katika kila uhusia...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kuzungumzia kuhusu ngono/kufanya mapenzi ya salama na kinga dhidi ya magonjwa...
Read More
Ndiyo, mtu anayeonekana na afya nzuri anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI. Katika hatua ya mwanzo b...
Read More
Ndiyo, watashtakiwa! Wakati mwingine wazazi huwatuma
watoto wao kuchukua au kununua pombe au...
Read More
Wakati mwingine, migogoro katika uhusiano wako na msichana inaweza kuonekana kama jambo lisilowez...
Read More
Kutumia fedha nyingi kupata muda mzuri na msichana siyo lazima. Kuna njia nyingi za kuwa na muda ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!