Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6i6q4pp81qste5kmjc9ftom2ed, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Ni kwa nini ni vigumu kuacha kuvuta sigara?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya lolote bila ya kutumia.
Kwa upande wa sigara unaweza kuzoea hali yake ya kukutuliza na
hali ya kutamani kila unapojisikia. Kwa wengi hamu hiyo hutokea
baada ya kazi nzito, pamoja na pombe, au baada kula. Kwa hiyo,
kama unataka kuacha uvutaji wa sigara inabidi ubadili tabia na
kuepuka vishawishi na pia kupambana na nafsi na matamanio
yako. Hii ni hatua kubwa inayohitaji msimamo mkali.
Utakapoanza kupunguza matumizi ya sigara au kuacha kabisa
utajisikia mpweke au mkiwa. Hali hii inaweza ikawa mbaya na
kuumiza. Mara nyingi utajihisi kujawa na wasiwasi, utakosa
usikivu, utajisikia kusinzia ingawa utakosa usingizi usiku,
mapigo ya moyo hushuka na pia shinikizo. Hamu ya kula na
uzito kuongezeka iwapo utendaji wako wa kazi hupungua.
Ukishatawaliwa na sigara basi kuvuta kwako si tabia bali ni
ugonjwa. Watu wengi wanaotegemea nikotini hawavuti kwa
starehe inayoletwa na starehe ya uvutaji, bali kuepuka maumivu
yanayosababishwa na kuacha sigara.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6i6q4pp81qste5kmjc9ftom2ed, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mafuta yanayowekwa kwenye pakiti ya kondomu ni mafuta maalum na yana kazi ya kuhifadhi kondomu mp...
Read More
Neno VVU ni i virusi au vijidudu vinavyosababisha ugonjwa wa UKIMWI. Neno hili kwa lugha ya Kii nger...
Read More
Ndiyo, unaweza. Kifo kinaweza kuwa cha ghafla au
kutokana na madhara ya muda mrefu katika vi...
Read More
Leo tutazungumzia jambo la muhimu sana, ambalo ni kujenga ujasiri wakati wa ngono. Hivi karibuni,...
Read More
Watoto wengi wanaozaliwa na ualbino, wazazi wao wana rangi
ya ngozi, nywele na macho inayafa...
Read More
Ni kweli kwamba baadhi ya pombe, hasa bia, husababisha
ongezeko la uzito kwa baadhi ya watu ...
Read More
Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako? Hii ni mada ambayo i...
Read More
Si kweli.
Pombe haiongezi damu, vitamini wala nguvu. Ukweli ni kwamba unywaji po...
Read More
Kwa wanaume wengi, kazi na majukumu ya kila siku yanaweza kupunguza muda wa ubunifu na msichana w...
Read More
Je, ni sahihi kutumia michezo ya ngono/kufanya mapenzi kama sehemu ya uhusiano? Hili ni swali amb...
Read More
Njia za Kusuluhisha Mazungumzo ya Mgawanyiko katika Uhusiano wako na Msichana
Kila uhusian...
Read More
Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Wakati wa...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!