Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0fcd57c215f701bba14f1f448e4f02ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Nini matatizo ya macho ya Albino?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mboni katika macho ya Albino haina pigimenti ya rangi. Kwa
hiyo, ni rahisi macho yao kuathiriwa na mwanga. Kwani mboni
ndiyo inayolinda jicho la ndani lisipatwe na mwanga mkali.
Vilevile kama mboni inavyolinda jicho dhidi ya mionzi ya jua,
inakuwa vigumu kuona kwa usahihi utofauti katika picha. Kwa
hiyo uwezo wa kuona unatiwa mawingu mawingu. Hivyo basi, ni
muhimu sana kukwepa inavyowezekana mionzi ya jua na kulinda
macho kwa kuvaa miwani ya jua.
Albino mara
nyingi hawaoni
vizuri, na hii
i n a t o f a u t i a n a
k w a m m o j a
hadi mwingine.
Inawezekana ni
kutoona mbali,
kutoona karibu au kuona mawingumawingu (ukungu).
Matatizo haya hutofautiana katika Albino. Ukweli ni kuwa
Albino anaweza kushiriki katika michezo mbalimbali, baadhi
wanaweza kuendesha magari na wengi wanaweza kusoma
maandishi ya kawaida.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0fcd57c215f701bba14f1f448e4f02ba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, uaminif...
Read More
Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu ...
Read More
Hapana, ukila na mtu mwenyemaambukizi ya Virusi vya UKIMWI huwezi kuambukizwa Virusi vya UKIMWI w...
Read More
Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako
-
Tafuta Muda wa Kipekee
Kutafut...
Read More
Si kweli. Mpaka sasa wanasayansi hawajathibitisha kwamba
mtu anayekunywa pombe kidogo ndiye ...
Read More
- Je, watu wanapenda kujaribu nafasi mpya za ngono/kufanya mapenzi?
Hivi karibu...
Read More
Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test...
Read More
Kujenga uhusiano na msichana ni jambo muhimu katika maisha ya kimapenzi. Uhusiano unapokuwa imara...
Read More
Ulemavu maana yake ni hitilafu katika mwili au akili inayomwekea
mipaka mtu asiweze kufaniki...
Read More
Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ...
Read More
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na k...
Read More
Kuna magonjwa mengi tofauti ya zinaa, lakini yale ambayo yameenea sana ni kisonono, kaswende, klamdi...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!