Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_lul3u05f4j0lei55lueb5e09kl, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Kwa nini Albino hawapewi kazi kwa mtazamo kwamba hawawezi kazi?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Watu wengi katika jamii hawana uelewa unaotosheleza kuhusu
ulemavu wa ngozi na ulemavu wa macho wa Albino.
Hii ndiyo sababu mara nyingi jamii inawatenga ikiamini kuwa
inawalinda ili wasipatwe na madhara ya ziada. Wanaweza
vilevile kuwatenga hata kwa kuwazuia kufanya kazi ambazo
wanazimudu bila sababu za msingi au bila kusikiliza maoni yao.
Watu wanapaswa kuzingatia mapungufu walio nayo Albino na
kuwapa kazi kwa kuzingatia uwezo walionao. Kwa mfano kufanya
kazi katika jua kwa muda mrefu ni jambo lisilofaa au kumtaka
Albino asome kwa muda mrefu inaweza kumshinda. Ni muhimu
pia kwa mtu anayeishi na ualbino kujielewa, kujitambua na
kukubaliana na hali hii kwa kuchagua kazi ambazo zitaendana
na mapungufu hayo au kukabiliana na hali yenyewe.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_lul3u05f4j0lei55lueb5e09kl, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Leo kwenye makala hii, tutazungumzia vidokezo vya kuwa na mawasiliano ya kuaminika na msichana. N...
Read More
Je, umewahi kujaribu njia mpya za kufurahisha katika ngono/kufanya mapenzi?
Kama wewe ni m...
Read More
Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mt...
Read More
Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha
Hakuna ubishi kwamba mai...
Read More
Kama unatafuta njia za kufurahisha msichana na shughuli za kujenga timu, basi umefika mahali pazu...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri wa Kujihusisha na Ngono? 🌈
Karibu kija...
Read More
Jinsi ya Kuzungumza na Mwenzi Wako kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba 😊
Karibu...
Read More
Mtu anayeishi na virusi vya UKIMWI na UKIMWI anahitaji ushauri na mara pale atakapohisi unamjali ...
Read More
Jinsi ya Kujilinda na Mimba Bila Kusababisha Madhara ya Kiafya? 😊🌼
Karibu kijana! Le...
Read More
Hapana. Hii si kweli kwa sababu maziwa hayawezi kuondoa
uharibifu uliosababishwa na nikotini...
Read More
Watu wanaweza kuvumisha uongo wowote ili kupotosha
ukweli na kufanya mambo yao maovu wanayoy...
Read More
Je, ni lazima kufanya ngono kama ishara ya mapenzi?🤔
Haya, wapendwa vijana, hebu tuanze...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!