Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4d108cced61e4401e61a34e108ff3c1d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Watu wanasema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na Albino. Hii ni kweli?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Watu wanaweza kuvumisha uongo wowote ili kupotosha
ukweli na kufanya mambo yao maovu wanayoyapenda. Wapo
wanaosema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na
bikira, mtu mlemavu au Albino, hizi ni imani potofu na hazina
msingi wowote.
Imani hii kuwa kwa kujamiiana na Albino mtu anaweza kupona
VVU / UKIMWI siyo kweli kabisa. Mpaka sasa hakuna tiba
ya UKIMWI ingawa kuna maendeleo makubwa yanayotokana
na dawa za kufubaza VVU (Anti-retrovirals kwa kifupi ARVs).
ARVs zimesaidia watu wengi wanaoishi na VVU kuishi maisha
bora kiafya lakini ARVs haziponyi UKIMWI. Mtu akisha athirika
na VVU ataendelea kuwa na maambukizo kwa maisha yake yote
na hakuna uponyaji wowote unapatikana kwa kujamiiana na
Albino.
Imani hizi potofu pia zinaathiri makundi mengine katika jamii
yetu, kwa mfano; kujamiiana na bikira kunaweza kuponya
UKIMWI, hii imepelekea kuongezeka kwa vitendo vya ubakaji
wa watoto. Ni muhimu kwa vijana Albino kufahamu ukweli
kuhusu VVU/UKIMWI na pia mila hizi potofu ili waweze
kujikinga.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4d108cced61e4401e61a34e108ff3c1d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi z...
Read More
Kama kijana akinusa au kuvuta petroli kupitia puani au mdomoni, petroli hiyo huingia kwenye mapaf...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati
Karibu vijana wapend...
Read More
Ualbino ni hali ya
kurithi, hii inamaanisha
kuwa unapata ualbino
kutoka kwa wazazi...
Read More
Leo tutazungumzia jinsi ya kuwa na mawasiliano mzuri na msichana. Kwa sababu ya tofauti za kijins...
Read More
Ngozi ya Albino ina ukosefu wa rangi. Inaonekana kama ya watu
weupe ambao wana kiasi cha pig...
Read More
Mapenzi ni muhimu katika uhusiano wowote wa kimapenzi. Ni muhimu kuchukua hatua za kudumisha mape...
Read More
Jinsi ya Kujenga Uaminifu katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, uaminif...
Read More
Habari yako rafiki, leo tutajadili kuhusu swali linaloulizwa sana kuhusu watu kwa nini wanapendel...
Read More
Ndiyo, unaweza. Kifo kinaweza kuwa cha ghafla au
kutokana na madhara ya muda mrefu katika vi...
Read More
Ndiyo, watashtakiwa! Wakati mwingine wazazi huwatuma
watoto wao kuchukua au kununua pombe au...
Read More
Je, ni sahihi kufanya mapenzi na mpenzi wangu wa shule? 🤔
Habari vyote vijana! Leo tuta...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!