Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b43ab18223cf9f88b03048dcec693236, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Kwa nini Albino wengi hawataki kuoa/kuolewa au kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Watu ambao wanaonekana tofauti na wengine (ama kwa misingi
ya kabila, rangi, dini, kimo au hata ualbino) wanapata shida
ya kujichanganya katika jamii. Jambo hili linazidi kufanya hali
kuwa ngumu katika kupata nafasi ya kuanza uhusiano. Kwa hiyo,
siyo sahihi kulinganisha hali hii kwa watu wanaoishi na ualbino
kwani hali hii huwatokea watu tofauti.
Albino labda hawajiamini katika kuanzisha uhusiano wa
kimapenzi kutokana na uzoefu wa kunyanyapaliwa na kubaguliwa.
Wao mara nyingi wanakuwa na woga wa kukataliwa na labda
aliye na nia ya kutaka kuwa mwenzi. Awali ya yote ni kwamba
ili upendwe ni lazima wewe ujiamini na kujipenda mwenyewe.
Changamoto walizonazo familia zenye watoto wanaoishi
na ualbino ni hasa katika kuwajengea hali ya kujiamini na
kuwaelimisha kuwa ulemavu walionao ni katika muonekano
(wa ngozi, nywele na macho). Pamoja na kuwa na muonekano
huo, watoto Albino wana uwezo sawa kama watu wengine.
Kadri utakavyojiendeleza kielimu na katika mafunzo ndivyo
itavyokuwa rahisi kwako katika kujitegemea na kumpata
mwenzi wa kuishi naye.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b43ab18223cf9f88b03048dcec693236, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Wanaume wengi huwa na shida katika kuongea na wanawake, hasa katika mazungumzo ya kina. Hii mara ...
Read More
Katika uhusiano wowote, mvutano ni jambo ambalo huwezi kuliepuka. Hata kama mna furaha nyingi pam...
Read More
Neno βbikiraβ ni mtu yeyote ambaye hajawahi kujamii ana maishani mwake, awe mwanamke au mwana...
Read More
Sheria kuhusu utoaji
mimba zinatofautiana
kati ya nchi na nchi. Hapa
Tanzania utoa...
Read More
Uhusiano mzuri na wazazi ni muhimu sana siyo katika masuala ya uchaguzi wa mchumba tu, bali katika m...
Read More
Je, Ni Vipi naweza kuacha Kufanya Ngono Baada ya Kuanza?
Jambo la kwanza kabisa, napenda k...
Read More
Karibu sana kwenye makala hii ya blog, ambapo tutajadili kuhusu kwa nini watu wanapendelea kutafu...
Read More
Nchini Tanzania ni 7% ya watu wenye umri kati ya miaka 15-49 wana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI...
Read More
Leo tutazungumzia kuhusu vidokezo vya kuonyesha heshima kwa ndugu za msichana wako. Kama mwanaume...
Read More
Albino ni binadamu kama alivyo binadamu mwingine na ana haki
sawa za kuishi na kufaidi kuwep...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono? ππ
Leo tutajadili j...
Read More
Nifanyeje Kuzungumzia Suala la Kukosa Hamu ya Ngono? π
-
Jambo la kwanza kabisa...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!