Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_oea0tth412arsov1e56d03a32o, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki za
binadamu. Uhusiano
wa ujinsia ni muhimu
uwe katika misingi ya
maelewano, kuheshimiana,
na Huwezi kunikataa
mapenzi kwa
kila mmoja wenu.
Katika baadhi ya
tamaduni , mwanamume
ndiye mwenye mamlaka
na anakubalika kwamba anaweza kutumia nguvu. Ingawaje utamaduni
unatakiwa kujenga na kutia moyo uhusiano mzuri katika jamii.
Utamaduni wetu hauna budi kuimarisha thamani ambayo
itaheshimu hadhi ya utu na usiruhusu utumiaji wa nguvu. Kila
jambo ambalo linavunja haki ya mtu na kumdhalilisha hadhi ya
utu haliwezi kukubalika na kupokelewa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_oea0tth412arsov1e56d03a32o, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Sheria kuhusu utoaji
mimba zinatofautiana
kati ya nchi na nchi. Hapa
Tanzania utoa...
Read More
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika? Hil...
Read More
Habari zenu wapenzi wa blog hii! Leo tutaangazia swali moja la kuvutia sana ambalo huenda linawas...
Read More
Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii 📱🔞🔒
Karibu vijana...
Read More
-
Je, unajiamini wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi? Swali hili limewahi kuulizwa ma...
Read More
Wakati mwingine, migogoro katika uhusiano wako na msichana inaweza kuonekana kama jambo lisilowez...
Read More
Jinsi ya Kuwa na Muda wa Kipekee na Msichana Wako
-
Tafuta Muda wa Kipekee
Kutafut...
Read More
Leo tutazungumzia njia za kujenga ushawishi na msichana katika uhusiano. Kujenga ushawishi kunama...
Read More
Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu ...
Read More
Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mv...
Read More
Haki za msingi; hasa zile zinazohusiana na kuthaminiwa na
kuheshimiwa kama binadamu zinawahu...
Read More
Sheria ya Tanzania inaeleza dawa zilizo halali na zisizo halali.
Tumbaku imekubalika na jami...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!