Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_18aadb40e4357921869d2f8e7b9ff476, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Ubikira ni nini?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Maana halisi ya neno βbikiraβ ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kujamii ana hapa i ina maana kwamba uume wa mwanaume unaingia katika uke wa mwanamke.
Watu kadhaa wanasema kwamba kuwepo kwa kizinda, ambacho ni ngozi nyembamba laini i i iliyoko kwenye uke i inayokaa kama kiwambo, ndiyo ubikira. Lakini wanawake wengine huzaliwa bila kiwambo au ngozi hii , i inawezekana kwa wengine kuchanika kwa kiwambo hiki i wakati wakifanya mazoezi mazito kama vile kupanda baisikeli, kukwea miti na kadhalika. Pia, i inaweza kutokea wakati wa uchunguzi wa kiafya au tiba i inayohusisha sehemu za ndani sana ukeni. Kiwambo hiki kinatofautiana baina ya msichana na msichana.
Kwa hiyo, kizinda siyo kipimo kizuri kwa ajili ya kumtambua bikira. Njia pekee ya kumtambua bikira ni kufahamu kama mtu hajawahi kujamii ana (yaani bikira) au kama ameshajamii ana (siyo bikira). Wewe si bikira kama umewahi kushiriki ngono na utakuwa umepoteza ubikira na hamna njia ya ubikira kurudi tena, hata ukisubiri muda mrefu. Lakini hii haimaanishi wewe uendelee kufanya ngono ovyo.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_18aadb40e4357921869d2f8e7b9ff476, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, ni muhimu kujadili mipaka na dhibitisho wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Ndio, ni muhimu sana...
Read More
Wapo baadhi ya Albino wenye macho ya kuchezacheza na
ambayo hayawezi kulenga pamoja. Hii ina...
Read More
Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote ya kiafya iwapo utakaa muda mrefu bila ya kujamiiana. Viungo ...
Read More
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisai...
Read More
Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu? π€
Karibu vijana! Leo tutaz...
Read More
Habari za leo! Leo nataka kuzungumza juu ya jinsi ya kuonyesha ukarimu kwa msichana wako. Kama mw...
Read More
Sababu kuu ya ugumba unayoweza kujisababishia ni kupata magonjwa ya zinaa. Unaweza kuepuka kuwa m...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono π
Karibu vijana wenzangu! Leo, tutaj...
Read More
Kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi ni muhimu sana katika jamii yetu....
Read More
Je, nini imani ya watu katika kujaribu njia za kutanua wigo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mape...
Read More
Serikali zote na mashirika ya kimataifa wameweka mdhamana
na kukubali kulinda haki za binada...
Read More
Siku salama ni siku ambazo hakuna yai ambalo lipo tayari kwa kurutubishwa. Iwapo mwanamke atajami...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!