Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99d4f8d04d7e6a4f73a76439f2398cf5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Katika tendo la kujamiiana kati ya mwanaume na mwanamke, yupi anayepata starehe zaidi?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Siyo rahisi kusema ni nani anayestarehe zaidi ya mwenziwe, kwa sababu starehe inayotokana na mwanamke na mwanaume kufanya mapenzi inategemea na watu wote wawili wanaoshiriki katika tendo hili.
La msingi katika kujamii ana ni kwa mwanaume kumstarehesha mwanamke kadiri ya uwezo wake na kwa mwanamke kumstarehesha mwanaume kadiri i i inavyowezekana. Kama wote wawili wanajitahidi kuburudishana, wote wawili watapata raha sana.
Zamani, wanaume wengi walifikiri kwamba mwanamke ndiyo pekee mwenye wajibu wa kumstarehesha mwanaume, na kilichotokea mara nyingi ni kwamba mwanamke hakupata starehe wakati wa kujamii ana. Mawazo kama haya ni potofu na yamepitwa na wakati kwa sababu wanaume wameanza kuona kwamba kujamii ana kuna starehesha zaidi kwa wote wawili kama wote wawili wanajitahidi kuburudishana.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99d4f8d04d7e6a4f73a76439f2398cf5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Nifanyeje Kukabiliana na Mawazo yasiyofaa kuhusu Ngono? 🤔✋
-
Jua vipaumbele v...
Read More
Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Karibu kwenye makala hii a...
Read More
Afya ya uzazi inahusiana na mfumo wa uzazi wa mtu, na via
vya uzazi kwa watu. Kwa hali hiyo basi ina...
Read More
Kama wewe ni miongoni mwa wanaume wanaotaka kuwa na tarehe ya kimapenzi na msichana, kuna vidokez...
Read More
Dawa za kulevya huathiri ubongo jinsi unavyofanya kazi. Hubadili hisia na husaidia kuondoa aibu n...
Read More
Leo tutazungumzia kuhusu vidokezo vya kuonyesha heshima kwa ndugu za msichana wako. Kama mwanaume...
Read More
Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote ya kiafya iwapo utakaa muda mrefu bila ya kujamiiana. Viungo ...
Read More
Watu wenye ualbino hawana uwezo kabisa au wana uwezo mdogo
wa kuwa na rangi kwenye ngozi zao, nywele...
Read More
- Je, ualbino unaambukiza? ……….. Hapana
- Ualbino ni ugonjwa? ………..HapanaRead More
Jinsi ya Kuzungumza na Mwenzi Wako kuhusu Matumizi ya Kinga (Condom) 😊🌺
Karibu kweny...
Read More
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya ...
Read More
Pombe zinazotengenezwa kiwandani zinafuata viwango
ambavyo ubora wake umethibitishwa kihalal...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!