Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_42a26362a72e72479a091d13fbedbc3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Je, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole na kuna madhara gani ukisugua uume na vidole?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndiyo, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole. Anaposuguliwa uume na vidole, msisimko wa mwili unaongezeka na damu zinaingia kwenye mishipa ya damu katika uume.
Basi, uume unasimama na mara nyingi ukiendelea kusuguliwa mvulana anamwaga mbegu zake. Kusugua uume ni njia salama ya kumaliza ashiki ya kutaka kujamii ana. Hakuna madhara yoyote ya kiafya wala kiakili kama uume unasuguliwa. Watu wengine wanasema kwamba kupiga punyeto inasababisha shida ya kisaikolojia kutokea na nguvu ya kiume kupungua. Wengine wanasema kwamba mtu anayepiga punyeto atashindwa kujamii ana na mwanamke. Lakini si kweli, ni uvumi potofu tu.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_42a26362a72e72479a091d13fbedbc3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kwa kawaida urefu wa uume ambao haujasisimuka kwa wastani ni kati ya sentimeta 7 na 10, na uume ...
Read More
Mapenzi ya kweli hayabagui dini, kabila wala rangi. Kwa
kawaida, mapenzi ni matokeo ya hisia...
Read More
Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana
Kuwa msichana ni nzuri, lakini kuwa msichan...
Read More
Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Ku...
Read More
Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hi...
Read More
Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sas...
Read More
Katika masuala ya athari za mimba katika umri mdogo ni
kwamba vijana Albino hawana tofauti n...
Read More
Ubakaji ni tendo la kutumia nguvu katika ngono ambapo mbakaji anatumia nguvu kuonyesha ubabe wake...
Read More
Kwa wanaume wengi, kazi na majukumu ya kila siku yanaweza kupunguza muda wa ubunifu na msichana w...
Read More
Njia za Kujenga Uvumilivu na Msichana katika Changamoto za Maisha
Hakuna ubishi kwamba mai...
Read More
Kila mtu anataka kuwa na mvuto wa kipekee kwa msichana. Lakini je, unajua jinsi ya kuwa na mvuto ...
Read More
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na k...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!