Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02d2a6ed762cef5369a88037f0065dbc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Hii ndio inaitwa mbinu ya biashara
Date: January 10, 2017
Author: SW - Melkisedeck Shine
Anakuja Mchina anasema anahitaji Pakaπ,
ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi
wanakijiji wanahaha kusaka Pakaπ,
wanawaleta mchina ananunua wote anasepa
nao. Anarudi tena anasema vipi, naona
wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya
35,000 Pakaπ mmoja, wanakijiji wanaenda
deep zaidi msituni, kamata Pakaπ, leta kwa
mchina, mchina anasepa nao.
Afu wiki
mnayofuatia Mchina anasema bado anataka
Pakaπ, saivi atanunua kwa Laki. Wanakijiji
macho yamewatoka, hawana tena pakaπ.
Mchina anasema basi ntaftieni kwa Laki na
Nusu. Keshoake inasikika kuwa kuna Mchagga
anauza Paka kijiji cha pili, anauza kwa
100,000/=, wanakijiji wanawahi fasta
wanaenda nunua Pakaππππ wote wa kijiji cha
pili. Wanarudi kijijini hawana pesa ila wana
Mapaka πππ wakijua watamuuzia mchina fasta kwa
laki na nusu, Mchina hatokei Ng'oooo!!!!
Infact, yule mchina alikuwa anawakusanya tu
na kuwahifadhi kule kijiji cha pili akijua ataja
wauza kwa 100,000/= kwa hawa hawa wa kijiji
hiki.
This is what called business strategy.π
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_02d2a6ed762cef5369a88037f0065dbc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
ππΏDegree au vyeti ulivyo navyo haviwezi kukupa mafanikio.
ππΏUzuri ulio nao hauwe...
Read More
Kila mtu ambaye ni hai amepewa muda Wa masaa 24 kila siku,168 kwa wiki,672 kwa mwezi,8064 kwa mie...
Read More
Njia hizo ni kama ifuatayo!!
Katika maisha, umasikini siyo sababu ya mtu kuwa mchafu au kutokuwa na usaf...
Read More
Kauli 10 za mtu asiye na malengo wala uthubutu
1)Sina mtaji
2)Sina Con...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!