Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_635c8814840c7f260c2af9081aab288f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_635c8814840c7f260c2af9081aab288f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_635c8814840c7f260c2af9081aab288f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_635c8814840c7f260c2af9081aab288f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_635c8814840c7f260c2af9081aab288f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Mambo ya Msingi kuyajua Ili uishi na watu vizuri

Featured Image

Nimezipenda hizi nasaha. Naamini na nyinyi wenzangu hamtakosa japo machache ya kujifunza:-
1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo)
2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya, ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa kizazi chako)


3. Usichukue maamuzi kabla ya kutafiti ukweli (pengine wapo wanadamu wanaopenda kuonekana wao wema kwa kuumiza wengine). Mtuhumu mtu lakini mpe muda wa kumsikiliza, usimshambulie mtu kwa maneno makali bila kuujua ukweli, ukijua ukweli nafsi inaweza kukusuta.


4. Mchukulie kila mwanadamu ni mkosaji (tambua kuwa hata wewe unawakosea sana wengine na wanakuvumilia. Hivyo usiwe mwepesi wa kuwaadhibu wenzio kwa ubaya).


5. Usipande mbegu ya chuki na ubaya katika jamii unayoishi ukadhani itakuacha salama (chuki hukua kama mti utambaao, ukiipanda ndani ya jamii yako, haitatoka kwako na inaweza kutafuna kizazi chako ukajutia.


6. Tambua kuwa yule unayeishi nae ni mwanadamu kama wewe, mpe heshima na mwonyeshee upendo hata kama huoni anafanana nawe. Maisha ni duara huenda ulikuwa kama yeye au atakuja kuwa kama wewe baadae.


6. Usiwe muongeaji ovyo ovyo na usiye na subira. Kuongea sana kunapoteza busara.


7. Jiepushe na maisha ya kusukumwa na wengine kufanya jambo usilojua manufaa yake. Jifunze kujitegemea kiakili. Sio kila unayemdhania rafiki moyoni mwake yupo pamoja nawe, na ukashirikiana nae, wengi wa marafiki zetu hututumia sana kuliko tunavyoweza kuwatumia wao.


8. Usipende sana kugombana na watu kwa njia ya maongezi yanayodumu kama vile, ujumbe wa maandishi, mawasiliano ya simu au ujumbe wa maneno (SMS). Kumbuka kuwa maneno yanaishi kuliko ugomvi au uadui, ipo siku yatakurudi na utajiona mpumbavu na kukosa pa kujificha. Jifunze kusubiri.


9.Usifumbue mdomo wako kutamka ubaya au kunyanyua kidole chako kuandika ubaya juu ya mwenzio bila kujiuliza mara mbili moyoni mwako hatima ya unachokitoa kwa mwingine.


10. Jishushe na jifunze kusikiliza wengine wakati wa mazungumzo ili uweze kujifunza kabla ya kukurupuka kujibu, usikivu ni kipimo cha busara, mtu anayekurupuka kujibu jibu kila anachosikia hawezi kuwa kiongozi, Mume au Mke mwema kwani mara nyingi atapotoka tu.


10. Usitunze hasira nyingi moyoni kwani hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu. Jitahidi pia kuepuka kuwa na hasira mara kwa mara na zisizo na maana. Elewa kuwa hasira zisizo maana hukupunguzia maisha na kukupa maumivu wewe mwenyewe kuliko yule uliyemfanyia hasira, utakufa kwa magonjwa kabla ya wakati ufaao.


11. Thamani yako inategenezwa na watu wengine, wewe kama ni mtoto, mheshimu sana mzazi wako na kama umeoa au kuolewa, heshimu wazazi na familia ya mke au mumeo kwa kuwa bila wao, usingekuwa hivyo ulivyo leo unajivunia ndoa njema, kwa kuwa yupo mtu alimzaa huyo mwenzio. Mheshimu kwa lolote liwe jema au baya, utalipwa kwa wakati ufaao.


13. Usijibizane na mtu usiyemjua au ambaye hawezi kukupunguzia kitu katika maisha yako. Tambua kuwa unapunguza sehemu kubwa ya maisha yako kwa kutafuta magomvi na mtu wa mbali nawe.


14. Kumbuka asili yako, kumbuka upo hapo kwa kuwa kuna mahali ulitoka, maisha yanabadilika, usidharau pale ulipokuwa zamani kwa kuwa ndipo palipokufanya leo uwe hapo.


15. Subiri, sikiliza, elekeza, vumilia. Elewa sio kila mtu ana uelewa kama wako. Jitahidi kuwa mvumilivu katika kila jambo, usiinuke kuwafokea au kuwakaripia wengine kwa jambo ambalo pengine nao wanahitaji muda kueleweshwa ili walifanye vyema. Kumbuka sana, kuna wakati nawe ulikuwa huelewi kabisa lakini wapo wenzio walikuvumilia, wakakuelekeza njia njema, kufokea wengine mara kwa mara sio njia njema ya kuwafundisha bali ni kuwaweka mbali nawe.


Kumbuka: Ishi kwa kumpendeza Mungu.






Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE




Kitabu hiki kina topiki Zifuatazo;
1. Mambo anayohitaji mwanamke kutoka kwa Mwanaume
2. Mambo yanayowavutia wanawake kutoka kwa wanaume
3. Mambo wanayoyapenda wanawake wakati wa kufanya mapenzi
4. Dalili za mwanamke kicheche
5. Maswali ya kujiuliza kama mwanamke anakupenda kwa dhati au anakudanganya
6. Tabia za mwanamke anayekupenda lakini hawezi kusema
7. Ishara za mwanamke aliyevutiwa na wewe
8. Dalili za mwanamke anayeelekea kukukubali
9. Mambo ambayo mwanamke hawezi kukwambia
10. Njia za kudumisha na kuamsha mapenzi na mwanamke





Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kirahisi kabisa hata kwenye simu yako. Utatumiwa Kopi ya kitabu hiki kwenye email yako na utaweza kukihifadhi na kusoma wakati wowote utakaotaka.





[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_635c8814840c7f260c2af9081aab288f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Ushawishi wa Historia na Utamaduni katika Maisha ya Kufanya Mapenzi: Kuelewa Mazingira yetu

Ushawishi wa Historia na Utamaduni katika Maisha ya Kufanya Mapenzi: Kuelewa Mazingira yetu

Mapenzi ni sehemu muhimu ya maisha yetu ya kila siku. Kama binadamu, tunaishi kwa kuwa na hisia, ... Read More

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kikazi katika Mahusiano: Kujenga Mipaka na Kuweka Malengo

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kikazi katika Mahusiano: Kujenga Mipaka na Kuweka Malengo

Katika kila mahusiano ya kikazi, kuna uwezekano wa kutokea mizozo na hii inaweza kuathiri sana uf... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kutowajali na Kukosa Ushirikiano katika Familia Yako

Kukabiliana na Mazoea ya Kutowajali na Kukosa Ushirikiano katika Familia Yako

Kukabiliana na Mazoea ya Kutowajali na Kukosa Ushirikiano katika Familia Yako

Familia ni k... Read More

Jinsi ya Kupenda na Kuunga Mkono Watoto Walemavu: Kuunda Mazingira ya Ukuaji na Furaha

Jinsi ya Kupenda na Kuunga Mkono Watoto Walemavu: Kuunda Mazingira ya Ukuaji na Furaha

Siku zote, kama wazazi au watunzi wa watoto, tunapaswa kujifunza jinsi ya kupenda na kuunga mkono... Read More

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti kubwa sana za kihisi... Read More

Uhusiano wa Kufanya Mapenzi na Mazoea ya Kijamii: Kuathiri na Kubadilisha Mtazamo wetu

Uhusiano wa Kufanya Mapenzi na Mazoea ya Kijamii: Kuathiri na Kubadilisha Mtazamo wetu

Uhusiano wa Kufanya Mapenzi na Mazoea ya Kijamii: Kuathiri na Kubadilisha Mtazamo wetu

Map... Read More

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Mahusiano yako

Njia za Kupunguza Mizozo ya Kifedha katika Mahusiano yako

Tofauti za kifedha zinaweza kuwa sababu ya migogoro katika mahusiano yako. Hata hivyo, unaweza ku... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Ukaribu wa Kihisia katika Mahusiano yako

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Ukaribu wa Kihisia katika Mahusiano yako

Mahusiano ni jambo muhimu sana katika maisha yetu na yanahitaji kipaumbele cha kujenga ukaribu wa... Read More

Jinsi ya Kusimamia mzigo wa kazi na majukumu ya familia katika uhusiano

Jinsi ya Kusimamia mzigo wa kazi na majukumu ya familia katika uhusiano

Kusimamia mzigo wa kazi na majukumu ya familia katika uhusiano ni changamoto inayoweza kutokea kwa w... Read More
Vifaa vya Burudani katika Kufanya Mapenzi: Jinsi ya Kuchangamsha Uzoefu wako

Vifaa vya Burudani katika Kufanya Mapenzi: Jinsi ya Kuchangamsha Uzoefu wako

Kufanya mapenzi ni muhimu sana katika kuimarisha uhusiano wako na mwenzi wako. Kuna mambo mengi y... Read More

Jinsi ya Kuwa Wazazi Wanaoongoza na Kuhamasisha Watoto: Sifa na Mbinu

Jinsi ya Kuwa Wazazi Wanaoongoza na Kuhamasisha Watoto: Sifa na Mbinu

Karibu kwenye makala hii inayokusaidia kuwa mzazi mwenye uongozi na uhamasishaji kwa watoto wako.... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kukua pamoja na mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kukabiliana na changamoto za kukua pamoja na mpenzi wako

Mahusiano ni safarini ndefu yenye changamoto ndogo ndogo. Kwa wale wanaotaka kukuza mahusiano yao... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_635c8814840c7f260c2af9081aab288f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact