Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6f9c2cf62acaad82dcc5af9668dff4b3, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_715d1325e6c2225ce357717c17098a29, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_061cb0d173019f943f1d8d270066dc94, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_eb80dccd6a407522b77cb75cc0cb1306, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_12e410ae6f23bc6a04d857944c0f36d2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Mambo 6 ambayo ni siri ya mwanamke na sio rahisi kukwambia

Featured Image

1. Idadi ya wapenzi wake wa zamani


Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli.


2. Anakulinganisha na mpenzi wa zamani


Mwanamke mara nyingi anakulinganisha na mpenzi wake wa zamani japokuwa hawezi kukwambia waziwazi. Wakati mwingine tabia hii huwafanya wanawake kuwatamani wapenzi wa zamani na hata kurudiana nao endapo watakosa mtu aliye bora kuliko mpenzi wake wa zamani.


 

3. Kasoro zako


Mwanamke kamwe hawezi kukwambia kasoro zako. Wanawake wanajua kumfichiaa mpenzi wao mambo wasiyotaka yajulikane kwa wengine na kwa mpenzi wake. Wanajua njia za kiujanja za kutumia ili kufichua siri zako zote. Mwanamke hawezi kukwambia kasoro zako kwa kuogopa kukuumiza.


4. Mapungufu yake


Mwanamke hawezi kukwambia mapungufu yake labda kwa kuhofia kusheshwa thamani. Wanawake ni wasiri sana kwa mapungufu yao. Wanajua vyema hofu zinazomuandamana, vitu vinavyowakosesha usingizi na mambo yanayowalemea maishani japo sio rahisi kuonyesha. Kwa nje anaweza akaonekana yuko vizuri na hana tatizo kumbe ndani ana matatizo au mapungufu. Anaweza kufanya yote kufunika upungufu wake!


 

5. Huwa unampagawisha mpaka anakosa la kusema


Hili halisemi kabisa mwanawake kwa sababu anaona haya kutumia maneno ya wazi kueleza raha unayompa. Maneno ya kuzuzua ni himaya ya wanaume, lakini wakati mwingine wapo wasioweza kuficha.


6. Haumridhishi katika tendo la ndoa


Wanawake wengi hawapendi kusema kama hawaridhiki Kwenye tendo la ndoa. Wanawake wanahitaji kuandaliwa vilivyo kwa dakika 10, 20 ama nusu saa. Mara nyingine wanaume huwahi kabla mwanamke hajawa tayari na hivyo kushindwa kuridhika lakini hawezi kusema.






Yafahamu Mambo Mbalimbali kuhusiana na Wanawake kwa Ku-Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE




Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kirahisi kabisa hata kwenye simu yako. Utatumiwa Kopi ya kitabu hiki kwenye email yako na utaweza kukihifadhi na kusoma wakati wowote utakaotaka.





[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_1a07c10fb15582c040858cff0a4dbb48, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mafanikio na changamoto za kazi

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mafanikio na changamoto za kazi

Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mafanikio na changamoto za kazi ni muhimu katika kujenga uelewa na ... Read More
Uko karibu zaidi na wazazi wako au ndugu zako?

Uko karibu zaidi na wazazi wako au ndugu zako?

Karibu ndugu na wazazi ni jambo muhimu sana katika maisha yetu. Inaweza kuwa ngumu kufikiria ni n... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya ujasiriamali na biashara

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu masuala ya ujasiriamali na biashara

Mapenzi na biashara ni mambo ambayo hayana uhusiano wowote, lakini kwa wewe na mpenzi wako, yanaw... Read More

Njia za Kupunguza Mazoea ya Kutokuwa na Msamaha katika Mahusiano

Njia za Kupunguza Mazoea ya Kutokuwa na Msamaha katika Mahusiano

Mahusiano ni sehemu muhimu ya maisha ya binadamu, lakini mara nyingi tunaweza kuingia kwenye mazo... Read More

Kufurahia Furaha na Mafanikio ya Familia: Sherehe za Kushangaza

Kufurahia Furaha na Mafanikio ya Familia: Sherehe za Kushangaza

  1. Kufurahia Furaha na Mafanikio ya Familia: Sherehe za Kushangaza ni njia bora ya kuadhim... Read More

Jinsi ya Kukuza Heshima na Uaminifu katika Mahusiano ya Familia

Jinsi ya Kukuza Heshima na Uaminifu katika Mahusiano ya Familia

Mahusiano ya familia ni muhimu sana kwani ndiyo yanayotufanya tuwe na furaha na amani katika mais... Read More

Jinsi ya Kuwa Wazazi Wanaoongoza na Kuhamasisha Watoto: Sifa na Mbinu

Jinsi ya Kuwa Wazazi Wanaoongoza na Kuhamasisha Watoto: Sifa na Mbinu

Karibu kwenye makala hii inayokusaidia kuwa mzazi mwenye uongozi na uhamasishaji kwa watoto wako.... Read More

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu ndoto na malengo ya kazi

Jinsi ya Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu ndoto na malengo ya kazi

Kuwasiliana na mpenzi wako kuhusu ndoto na malengo yako ya kazi ni muhimu katika kujenga uelewa na u... Read More
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha usawa wa kazi na majukumu ya nyumbani

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kujenga na kudumisha usawa wa kazi na majukumu ya nyumbani

Kuna mambo mengi mazuri katika uhusiano wa kimapenzi, lakini changamoto kubwa zinaweza kutokea wa... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Watoto: Kusikiliza na Kuelewa

Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Watoto: Kusikiliza na Kuelewa

Habari ndugu yangu! Umeamua kuchagua njia sahihi ya kuwa na mazungumzo ya kujenga na watoto wako.... Read More

Je, watu wanaamini katika kutumia dawa za kuongeza hamu ya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini katika kutumia dawa za kuongeza hamu ya ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini katika kutumia dawa za kuongeza hamu ya ngono/kufanya mapenzi? Hili ni swali a... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kutokuwa na Usawa katika Familia: Kuweka Haki na Uadilifu

Kukabiliana na Mazoea ya Kutokuwa na Usawa katika Familia: Kuweka Haki na Uadilifu

Kukabiliana na Mazoea ya Kutokuwa na Usawa katika Familia: Kuweka Haki na Uadilifu

Familia... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dba926d032d89ed84e821aca4c86d286, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact