Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a6261a9734fc46ca41cd1e63f3572ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mchumba anayefaa kufunga naye ndoa
Date: January 13, 2017
Author: SW - Melkisedeck Shine
Maisha ya ndoa yanahitaji maandalizi mazuri, kama waswahili wasemavyo nyote njema huonekana asubuhi, asubuhi ya maisha ya ndoa ni kipindi cha uchumba. Ndugu zangu, kipindi cha uchumba ni lazima tukitumie vizuri na kwa makini na kila jambo, ukitambua hakuna jambo dogo wa kubwa, kila jambo uliangalie katika mapana yake na katika uzito wake.
Hivyo basi huyo anayetaka kuwa na wewe jiulize maswali haya juu yake;
1. Je anamtambua Mungu na kuishi maisa ya kumpendeza Mungu, katika matendo yake na maneno yake?
2. Je huyo mchumba wako yupo tayari kukusaidia wewe kufikia malengo yako katika maisha?
3. Je huyo mchumba wako anakuheshimu na kukusikiliza au mtu anayekudharau?
4. Je mchumba wako anakushirikisha kila jambo kuhusu maisha yake na pia kuwa na utayari wa kupokea mawazo yako?
5. Je mchumba wako ana mawasiliano na wewe kwa kiasi kikubwa na kukujulia hali mara kwa mara?
6. Je mchumba wako yupo tayari kujitoa kwa ajili yako kwa hali na mali ili kufikia malengo yenu ya pamoja?
7. Je unatambua mazuri na mapungufu ya mchumba wako, hasa tukitambua hakuna mtu ambaye ni mkamilifu na namna gani mnasaidiana katika madhaifu yenu
8. Je mchumba wako ni msikivu au ni mtu ambaye anapoamua jambo ndilo analotaka hawezi kukusikiliza wala kupokea mapendekezo yako?
9. Je mchumba wako ni mwaminifu na anajitunza kwa ajili yako wewe tu au ni mtu ambaye haeleweki heleweki?
10. Je mchumba wako yupo tayari kukusamehe unapomkosea au kuomba msamaha anapokosea, au ni mtu mbishi
Haya ni mambo machache ambayo ni lazima kuyatafakari kuhu mchumba wako kama anakufaa kuunga naye NDOA? Usikurupuke.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a6261a9734fc46ca41cd1e63f3572ce7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Familia ni mahali pa kwanza ambapo tunajifunza kuhusu upendo, heshima na uvumilivu. Hata hivyo, m...
Read More
1. Kuwa na Mawasiliano Mzuri: Anza kwa kuwa na mawasiliano mazuri na mke wako. Jenga mazingira ya wa...
Read More
Jinsi ya Kupata Msichana wa Kuwa na Uhusiano wa Mbali
Kuwa na uhusiano wa mbali sio rahisi...
Read More
Kusaidiana na mke wako kufikia ndoto zake za kibinafsi na za kazi ni sehemu muhimu ya kuimarisha uhu...
Read More
Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Uwazi na Kuweka Nafasi ya Mazungumzo katika Familia
Famili...
Read More
Mahusiano ni safarini ndefu yenye changamoto ndogo ndogo. Kwa wale wanaotaka kukuza mahusiano yao...
Read More
Mtoto wa kike anapenda mambo mazuri na ya kipekee, kwa hivyo ikiwa unataka kumvutia msichana kwa ...
Read More
Kuweka Kipaumbele cha Ubora wa Mahusiano: Jinsi ya Kutunza Ushirikiano wako
Mahusiano ni s...
Read More
Kama mzazi au mlezi, unaweza kuunga mkono watoto wako ili wafuate ndoto zao kwa kuwa mlezi wa kuh...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kuweka mazingira ya kimapenzi kabla ya kufanya ngono au kufanya mapenzi? Ndio...
Read More
-
Kuweka Nafasi ya Upendo na Utunzaji katika Mahusiano yako ni jambo muhimu sana kwa afya...
Read More
Wapendwa wangu, katika ulimwengu wa leo, ni muhimu sana kujenga na kudumisha usawa wa kijinsia na...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!