Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dc8627636857560e23bedde0ad0c353c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dc8627636857560e23bedde0ad0c353c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dc8627636857560e23bedde0ad0c353c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dc8627636857560e23bedde0ad0c353c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dc8627636857560e23bedde0ad0c353c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Jinsi ya kumfanya mwanamke afurahi na akupende kwa kumfanyia mambo anayoyataka

Featured Image

Kuna mambo ya msingi ambayo mwanamke anahitaji kutoka kwa mwanamme ili kufurahi na kutulia katika mahusiano japokuwa sio rahisi kukwambia mojakwa moja.


Mambo hayo ni kama ifuatavyo;


Kupewa nafasi na kipaumbele.


Wanawake wanapenda kuwa namba moja au kupendwa kuliko yeyote. Kumpenda mwanamke haikuishii kwenye kumpata na kumliki, kisha kujisahau kwa kisingizio kuwa umemuoa au umemvisha pete ya uchumba, ni zaidi ya hapo. Wanawake wanapenda watangulizwe katika mapenzi na kusiwepo na mwingine wa kuchukua nafasi yao katika mazungumzo na mapenzi kwa ujumla na katika maisha yao.


 

Kuheshimiwa


Wanawake wanapenda kueshimiwa kwa maneno na matendo. Wanawake hawapendi kuitwa majina mabaya kwa mfano mjinga, Malaya au kulinganishwa na wanawake wenzao wabaya. Wanawake hawapendi kukosewa heshima hasa mbele za watu, hata kama ni kwa mambo madogo madogo.


Kuridhishwa Kwenye tendo la ndoa


Mwanamke anapenda aridhishwe Kwenye tendo la ndoa. Hata kama utakuwa na kiwango kikubwa cha mapenzi juu ya mpenzi wako kwa kiwango gani, ukiwa dhaifu katika tendo la ndoa utayumbisha penzi lako. Utundu na ufundi unahitajika ili kumkata kiu mpenzi wako. Mwanamme anatakiwa kuhakikisha kuwa anamtosheleza mpenzi wake katika tendo hilo.


 

Nafasi ya kuongea na kujieleza


Wanawake wanapenda wapewe nafasi ya kuongea na kujieleza vile watakavyo. Mpe uhuru mpenzi wako kuzungumza na kumsikiliza bila kumkatiza kwa ukali pale anapoongea sana. Kwa kawaida wanawake wanatajwa kuzungumza maneno 25,000 kwa siku, wakati wanaume wakibaki na kiwango cha maneno 5,000 kwa siku, wanawake hupenda zaidi kujieleza walivyo mbele ya wengine. Kwa hiyo wakizuiwa wasiongee hujiona kama wanakosa nafasi muhimu ya kueleza mawazo yao.


 

Kusaidiwa katika shida na matatizo yao


Wanawake wengi hutegemea kuwa wanapokuwa na wapenzi watasaidiwa katika matatizo ya kimaisha na migogoro ya kimawazo. Kwa mfano ushauri juu ya maisha yao, kulindwa na hatari za kimaisha, kusaidiwa katika shida na kuongozwa pale wanapohisi kushindwa kufanya jambo. Kama mwanaume hatamfanyia mpenzi wake hili atakuwa amekosa sifa za kuteka penzi la mwanamke.


Kubembelezwa


Wanawake hupenda kubembelezwa hasa pale wanapokuwa na huzuni. Wanawake wengi hupenda kuelimishwa zaidi kuliko kufokewa. Wanawake hawapendi kukaripiwa, mara nyingi hupenda kuungwa mkono wanapokuwa na misuguano na wengine. Ili mwanaume amteke kimapenzi mwanamke lazima awe nyuma yake hata kama atakuwa na kosa.






Mfahamu zaidi Mwanamke kwa Kupitia Kitabu hiki kizuri cha SIRI ZA MWANAMKE




[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dc8627636857560e23bedde0ad0c353c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kuwa Mfano Bora katika Familia: Kuwa Mtu wa Kuigwa

Jinsi ya Kuwa Mfano Bora katika Familia: Kuwa Mtu wa Kuigwa

Karibu kwenye makala hii ya jinsi ya kuwa mfano bora katika familia yako. Kuwa mtu wa kuigwa ni m... Read More

Kujenga Mazingira ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Kujenga Mazingira ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Karibu katika makala hii inayohusu jinsi ya kujenga mazingira ya amani na furaha katika familia y... Read More

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Kujenga Hali ya Kuaminiana katika Kufanya Mapenzi: Kuweka Mipaka na Kuweka Wazi

Upendo ni ... Read More

Kujenga Ushirikiano wa Kifedha na Kuweka Malengo ya Pamoja katika Familia

Kujenga Ushirikiano wa Kifedha na Kuweka Malengo ya Pamoja katika Familia

  1. Kuweka malengo ya pamoja katika familia ni jambo muhimu sana katika kujenga ushirikiano... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya usalama na faragha katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya usalama na faragha katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya usalama na faragha katika ngono/kufanya mapenzi?

H... Read More

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya elimu na ukuaji binafsi

Jinsi ya Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya elimu na ukuaji binafsi

Kuzungumza na mpenzi wako kuhusu mipango ya elimu na ukuaji binafsi ni njia nzuri ya kuendeleza na k... Read More
Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kudumisha afya na ustawi wa akili

Jinsi ya Kusaidiana na mpenzi wako katika kudumisha afya na ustawi wa akili

Kusaidiana na mpenzi wako katika kudumisha afya na ustawi wa akili ni muhimu katika kujenga uhusiano... Read More
Ushawishi wa Vyombo vya Habari katika Maoni yetu ya Kufanya Mapenzi: Kuchambua na Kuelimisha

Ushawishi wa Vyombo vya Habari katika Maoni yetu ya Kufanya Mapenzi: Kuchambua na Kuelimisha

Ushawishi wa vyombo vya habari katika maoni yetu ya kufanya mapenzi ni suala ambalo limekuwa liki... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Uwazi na Kuweka Nafasi ya Mazungumzo katika Familia

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Uwazi na Kuweka Nafasi ya Mazungumzo katika Familia

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Uwazi na Kuweka Nafasi ya Mazungumzo katika Familia

Famili... Read More

Jinsi ya Kuweka Malengo ya Fedha na Kupanga Bajeti na Mke wako

Jinsi ya Kuweka Malengo ya Fedha na Kupanga Bajeti na Mke wako

Kuweka malengo ya fedha na kupanga bajeti pamoja na mke wako ni njia nzuri ya kusimamia kwa ufanisi ... Read More
Jinsi ya Kuonyesha Ukarimu kwa Msichana Wako

Jinsi ya Kuonyesha Ukarimu kwa Msichana Wako

Habari za leo! Leo nataka kuzungumza juu ya jinsi ya kuonyesha ukarimu kwa msichana wako. Kama mw... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya hisia na utambuzi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya hisia na utambuzi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari rafiki yangu! Leo tuzungumzie suala muhimu sana ambalo linapaswa kujadiliwa katika uhusian... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_dc8627636857560e23bedde0ad0c353c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact