Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d76202150b9250297d6b2d0feff9a147, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d76202150b9250297d6b2d0feff9a147, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d76202150b9250297d6b2d0feff9a147, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d76202150b9250297d6b2d0feff9a147, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d76202150b9250297d6b2d0feff9a147, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Kisa cha kusisimua cha kijana na mke wake na mama yake

Featured Image

Kuna kijana mmoja daktari alikwenda kuposa. Binti aliyemposa akamuwekea masharti mazito. Akamwambia chagua mawili imma kunioa mimi au kukaa na mama yako, kwa sababu ukinioa mimi sitokubali mama yako aje hata harusini kwangu! Yule kijana aliemewa. Hakujua la kufanya. Mke anamtaka, lakini mama yake pia anampenda.


Hivyo aliamua kuomba ushauri kwa mwalimu wake wa chuo kikuu. Alimwambia: moyo wangu unampenda mno binti niliyekwenda kumposa, lakini pia siwezi kuishi mbali na mama yangu. Nifanye nini?


Yule mwalimu mwenye hekima ambaye alikuwa anajua tabu alizopitia mama wa kijana yule, alimjibu kwa kumwambia: Kabla ya kukueleza uchague yupi kati ya wawili hao, rudi nyumbani, na leo usifanye chochote, ila kuikosha mikono ya mama yako. Yule kijana alifanya kama alivyotakiwa na mwalimu wake. Alipofika nyumbani aliomba idhini kwa mama yake amruhusu kuikosha mikono yake, na yule mama alimkubalia bila ya ajizi yoyote.



Yule kijana alipoanza kuikosha mikono ya mama yake na kuona jinsi ilivyogugutaa kwa kazi za sulubu, alilia sana. Muda wote huu alikuwa hajawahi kuangalia viganja vya mama yake. *Je, na wewe umewahi kukaa na kuangalia viganja vya mama au baba yako kuona tabu walizopitia kukulea?* Kumbe baba wa yule kijana alifariki dunia yeye akiwa bado mdogo, yule mama aliamua kusamehe kila kitu kwa ajili ya mustakbali wa mwanawe. Alijitolea kufanya kazi za sulubu. Alikubali kuwa mtumishi wa ndani, kukosha nguo, kupiga deki na kila kazi ambayo alihisi ingelimletea chumo la halali bila ya kujali ugumu wa jkazu hiyo.



Juhudi zake zilizaa matunda na kufanikiwa kumlea na kumsomesha mwanawe hadi chuo kikuu na sasa ni daktari ambaye ana mustakbali mzuri. Baada ya yule kijana kukumbuka yote hayo, alifanya haraka kumpigia simu mwalimu wake huku macho yakiendelea kububujikwa na machozi akimwambia, siwezi kusubiri hadi kesho. Jibu nimeshalipata. Siwezi kumtupa mama yangu kwa ajili ya mtu asiyejua thamani ya mama. Ahsante sana kwa kunionesha njia sahihi! Kamwe siwezi kumuuza mama yangu kwa ajili ya leo yangu wakati yeye ameuza maisha yake yote kwa ajili ya mustakbali wangu.
NANI KAMA MAMA?!? Maa! Tabasamu lako ni ufunguo wangu wa ofanisi.
Kama umeipenda.


Share kwa wengine ili nao wazinduke.






Download Kitabu cha SIRI ZA MWANAMKE




[products columns="2" ids="30827"]


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d76202150b9250297d6b2d0feff9a147, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kufanya Mapenzi ya Asubuhi au Jioni: Upendeleo Wa wengi ni Upi?

Kufanya Mapenzi ya Asubuhi au Jioni: Upendeleo Wa wengi ni Upi?

Kufanya mapenzi yako wakati gani hasa? Asubuhi au jioni? Hii ni swali ambalo wengi hujikuta wakij... Read More

Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Wazi kuhusu Kufanya Mapenzi na Mapenzi

Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Wazi kuhusu Kufanya Mapenzi na Mapenzi

Kufanya mapenzi ni kitu ambacho wengi wetu tunakifurahia. Hata hivyo, ni muhimu kujadili kwa wazi... Read More

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu?

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu?

Je, muda wa kufanya ngono/kufanya mapenzi ni muhimu? Hili ni swali ambalo huwa linawasumbua wapen... Read More

Kuunda Muda na Nafasi ya Ubunifu katika Mahusiano yako

Kuunda Muda na Nafasi ya Ubunifu katika Mahusiano yako

Mahusiano ni muhimu sana katika maisha ya binadamu. Kuunda muda na nafasi ya ubunifu katika mahus... Read More

Jinsi ya Kudumisha Uvumilivu na Ukarimu katika Mahusiano na mke wako

Jinsi ya Kudumisha Uvumilivu na Ukarimu katika Mahusiano na mke wako

Kudumisha uvumilivu na ukarimu katika mahusiano na mke wako ni muhimu sana kwa ustawi na umoja wa nd... Read More
Majukumu ya mke katika ndoa

Majukumu ya mke katika ndoa

Katika ndoa, jukumu la mke ni jukumu muhimu na linajumuisha majukumu mengi. Hapa kuna baadhi ya maju... Read More
Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Uwazi katika Familia: Kuweka Nafasi ya Mazungumzo na Ufahamu

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Uwazi katika Familia: Kuweka Nafasi ya Mazungumzo na Ufahamu

  1. Familia ni sehemu muhimu sana katika maisha yetu na inaweza kuathiri sana maendeleo yet... Read More

Je, watu wanpendelea kutumia njia za asili za kupanga uzazi?

Je, watu wanpendelea kutumia njia za asili za kupanga uzazi?

Karibu kwenye makala hii kuhusu kwa nini watu wanapendelea njia za asili za kupanga uzazi. Kupang... Read More

Je, kuna umuhimu wa ngono/kufanya mapenzi unabadilika wakati wa mzunguko wa maisha?

Je, kuna umuhimu wa ngono/kufanya mapenzi unabadilika wakati wa mzunguko wa maisha?

Habari za leo wapenzi wangu! Nami nina furaha sana kuwa hapa leo kuongelea kuhusu swala la ngono ... Read More

Kujenga Mazingira ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Kujenga Mazingira ya Amani na Furaha katika Familia Yako

Karibu katika makala hii inayohusu jinsi ya kujenga mazingira ya amani na furaha katika familia y... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Kuelimisha na Kukuza Maarifa katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Kuelimisha na Kukuza Maarifa katika Familia Yako

Kuweka Kipaumbele cha Kuelimisha na Kukuza Maarifa katika Familia Yako

Familia ni kitovu c... Read More

Jinsi ya Kudumisha Uvumilivu na Ukarimu katika Ndoa na mke wako

Jinsi ya Kudumisha Uvumilivu na Ukarimu katika Ndoa na mke wako

Kudumisha uvumilivu na ukarimu katika ndoa ni muhimu sana kwa ustawi na ukuzaji wa uhusiano wenu. Ha... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d76202150b9250297d6b2d0feff9a147, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact