Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_838693d409d52214aba1805e1949c046, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana
Date: December 19, 2015
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifanyike
duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku,
utusamehe makosa yetu,
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika kishawishi,
lakini utuopoe maovuni.
Amina
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_838693d409d52214aba1805e1949c046, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A...
Read More
Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum...
Read More
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ...
Read More
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut...
Read More
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako....
Read More
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz...
Read More
Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo...
Read More
Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n...
Read More
Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.
Kusali nov...
Read More
Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)
Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ...
Read More
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh...
Read More
Alex Nyamweya (Guest) on April 8, 2024
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Patrick Akech (Guest) on February 10, 2024
🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie
Henry Mollel (Guest) on February 7, 2024
🙏🌟 Neema za Mungu zisikose
Sarah Mbise (Guest) on January 20, 2024
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Irene Akoth (Guest) on December 21, 2023
Rehema zake hudumu milele
Fredrick Mutiso (Guest) on July 22, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Janet Sumari (Guest) on June 23, 2023
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
Elizabeth Mtei (Guest) on May 21, 2023
Nakuombea 🙏
Agnes Njeri (Guest) on May 4, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Mary Kidata (Guest) on February 8, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Stephen Kikwete (Guest) on February 2, 2023
Mungu ni mwema, wakati wote!
John Malisa (Guest) on January 17, 2023
🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai
Vincent Mwangangi (Guest) on December 8, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
David Kawawa (Guest) on September 30, 2022
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Mary Njeri (Guest) on July 28, 2022
Endelea kuwa na imani!
Rose Lowassa (Guest) on April 6, 2022
🙏💖 Nakusihi Mungu
Henry Mollel (Guest) on March 17, 2022
🙏🙏🙏
Tabitha Okumu (Guest) on January 23, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Benjamin Kibicho (Guest) on January 8, 2022
🙏✨ Mungu atakuinua
Patrick Kidata (Guest) on November 27, 2021
🙏🌟 Mbarikiwe sana
Victor Sokoine (Guest) on September 14, 2021
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu
Robert Ndunguru (Guest) on September 7, 2021
Tumaini ni nanga ya roho
Christopher Oloo (Guest) on August 23, 2021
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
Josephine Nekesa (Guest) on June 19, 2021
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Edward Lowassa (Guest) on May 4, 2021
🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku
Bernard Oduor (Guest) on April 15, 2021
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
Nancy Akumu (Guest) on November 14, 2020
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
Charles Mchome (Guest) on September 4, 2020
🙏🌟 Mungu alete amani
Charles Mboje (Guest) on June 21, 2020
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Grace Majaliwa (Guest) on June 7, 2020
Rehema hushinda hukumu
James Mduma (Guest) on June 7, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Simon Kiprono (Guest) on June 4, 2020
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Lucy Wangui (Guest) on May 23, 2020
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Andrew Mchome (Guest) on April 5, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
George Ndungu (Guest) on March 27, 2020
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Mary Kendi (Guest) on January 9, 2020
🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike
Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2019
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Nora Lowassa (Guest) on December 29, 2019
🙏🌟 Mungu akujalie amani
Esther Cheruiyot (Guest) on November 7, 2019
Mungu akubariki!
Grace Majaliwa (Guest) on October 17, 2019
Nguvu hutoka kwa Bwana
Elizabeth Mtei (Guest) on September 5, 2019
Dumu katika Bwana.
Lydia Wanyama (Guest) on July 7, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Patrick Akech (Guest) on June 12, 2019
🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu
Fredrick Mutiso (Guest) on May 12, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Nicholas Wanjohi (Guest) on March 30, 2019
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Joy Wacera (Guest) on March 18, 2019
🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha
Rose Kiwanga (Guest) on December 1, 2018
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
Sarah Achieng (Guest) on September 23, 2018
Sifa kwa Bwana!
Mary Mrope (Guest) on September 11, 2018
🙏❤️ Mungu akubariki
David Kawawa (Guest) on September 2, 2018
🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha
Janet Sumari (Guest) on August 26, 2018
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Rose Amukowa (Guest) on July 22, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Victor Sokoine (Guest) on July 9, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Elizabeth Mtei (Guest) on June 1, 2018
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Thomas Mwakalindile (Guest) on May 19, 2018
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
Andrew Mahiga (Guest) on April 30, 2018
🙏🙏🙏
Vincent Mwangangi (Guest) on March 9, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Stephen Kangethe (Guest) on December 3, 2017
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2017
🙏💖💫 Mungu ni mwema
Andrew Odhiambo (Guest) on September 21, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi