Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_813b489900e10db057faabb3e5baf646, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_813b489900e10db057faabb3e5baf646, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_813b489900e10db057faabb3e5baf646, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_813b489900e10db057faabb3e5baf646, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_813b489900e10db057faabb3e5baf646, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_813b489900e10db057faabb3e5baf646, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Hassan (Guest) on July 9, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Guest (Guest) on September 11, 2025

Huyo dalali hana akili

Shamim (Guest) on July 5, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2024

Hii ni bomba sana! 🤣ðŸ‘

Kassim (Guest) on May 22, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

John Mwangi (Guest) on April 23, 2024

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Grace Njuguna (Guest) on April 13, 2024

😂ðŸ‘😅🤣

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2024

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on January 5, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Saidi (Guest) on January 4, 2024

😂 Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on December 31, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Sarah Karani (Guest) on December 8, 2023

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rabia (Guest) on November 18, 2023

🤣 Sikutarajia hiyo!

Fadhili (Guest) on October 19, 2023

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on October 3, 2023

🤣🤣ðŸ‘😆

Grace Mligo (Guest) on September 22, 2023

😄 Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on September 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Lowassa (Guest) on September 13, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Zainab (Guest) on September 11, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Grace Minja (Guest) on August 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂

Raphael Okoth (Guest) on August 20, 2023

😂🤣😆ðŸ‘

Chris Okello (Guest) on August 15, 2023

😅😊😂ðŸ‘

Nora Kidata (Guest) on August 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ðŸ‘😆

Sharon Kibiru (Guest) on August 6, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Jane Muthoni (Guest) on August 1, 2023

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 24, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂

Margaret Mahiga (Guest) on July 17, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Faith Kariuki (Guest) on July 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Janet Mbithe (Guest) on July 13, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! ðŸ‘😆

Janet Sumaye (Guest) on July 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Patrick Mutua (Guest) on July 3, 2023

😆 Hiyo punchline!

Mary Mrope (Guest) on July 2, 2023

😄 Umenishika vizuri!

Michael Mboya (Guest) on June 25, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Rose Waithera (Guest) on June 23, 2023

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Warda (Guest) on June 11, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

Zakaria (Guest) on June 4, 2023

😅 Nilihitaji hii!

Victor Kimario (Guest) on May 28, 2023

Nimefurahia sana hii! 😅😊

Maneno (Guest) on May 13, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

David Chacha (Guest) on April 23, 2023

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Sarah Karani (Guest) on April 16, 2023

Hii imenibamba sana! 😂😅

Irene Akoth (Guest) on April 2, 2023

Hii ni ya kufurahisha! 😄😅

Diana Mallya (Guest) on March 18, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2023

😆 Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on February 23, 2023

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Josephine Nekesa (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Agnes Njeri (Guest) on January 28, 2023

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on January 21, 2023

😂 Lazima nihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on January 12, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Diana Mumbua (Guest) on December 31, 2022

😆 Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆

Omar (Guest) on December 4, 2022

😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mazrui (Guest) on November 23, 2022

😆 Hii imenigonga kweli!

Stephen Amollo (Guest) on November 22, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Patrick Akech (Guest) on November 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂

Sharon Kibiru (Guest) on November 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Shukuru (Guest) on October 28, 2022

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2022

🤣🤣😂

George Ndungu (Guest) on October 7, 2022

🤣 Ninaituma sasa hivi!

Zuhura (Guest) on October 5, 2022

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?â... Read More
Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Sababu ya girlfriend 👧 kuniblock

Sababu ya girlfriend 👧 kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* 👀👀

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_813b489900e10db057faabb3e5baf646, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3