Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fdd63e1a527306b07ef5290f28fc827c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fdd63e1a527306b07ef5290f28fc827c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fdd63e1a527306b07ef5290f28fc827c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fdd63e1a527306b07ef5290f28fc827c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fdd63e1a527306b07ef5290f28fc827c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fdd63e1a527306b07ef5290f28fc827c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Aziza (Guest) on July 8, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Amukowa (Guest) on June 24, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mchawi (Guest) on June 18, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on June 7, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on June 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 21, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on April 29, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Mahiga (Guest) on April 8, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Yusra (Guest) on March 18, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Shamim (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 7, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on January 24, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on January 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 5, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on November 12, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on November 9, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on October 14, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on September 3, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on August 14, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 13, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on July 22, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on July 10, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kamau (Guest) on July 2, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on June 27, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 21, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on May 30, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on May 12, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Warda (Guest) on April 28, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Mutua (Guest) on April 19, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on April 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Edith Cherotich (Guest) on April 2, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nyamweya (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Malecela (Guest) on January 3, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joy Wacera (Guest) on December 10, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edward Chepkoech (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on November 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 2, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Salima (Guest) on October 27, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jane Malecela (Guest) on October 25, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 23, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

John Mwangi (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Elizabeth Malima (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on July 26, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on July 3, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdillah (Guest) on June 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Muslima (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

David Kawawa (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on March 14, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_fdd63e1a527306b07ef5290f28fc827c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3