Sidebar with Floating Button
MHUBIRI
โ˜ฐ
AckyShine

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Featured Image
237 Comments

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamiliaโ€ฆ.Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTAโ€ฆJe rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGEโ€ฆJe samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

ย 

237 Comments

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Featured Image
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja, Mhudumu: kaka nikuhudumie nini, Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
237 Comments

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Featured Image
236 Comments

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image
237 Comments

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image
Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: kimya Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: we nani kwani? Polisi::: sisi polisi Jamaa::: mnataka nini?
237 Comments

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image
236 Comments

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal: Jamaa: dada mi nakupenda saana Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
236 Comments

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Featured Image
238 Comments
๐Ÿ“˜ About ๐Ÿ”’ Login ๐Ÿ“ Register ๐Ÿ“ž Contact