Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_88ekr786e43ga19c6bpu0ij9q7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Jinsi ya Kupika skonzi
Date: December 24, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 1/2 kijiko cha chakula)
Chumvi (salt 1/2 kijiko cha chai)
Hamira (yeast 1/2 kijiko cha chakula)
Baking powder 1/2 kijiko cha chai
Siagi (butter 1/4 ya kikombe cha chai)
Maziwa (fresh milk 3/4 ya kikombe cha chai)(unaweza kutumia maji badala ya maziwa)
Matayarisho
Pasha maziwa yawe ya uvuguvugu kisha weka pembeni, pia yeyusha siagi na uweke pembeni.Baada ya hapo tia kila kitu kwenye bakuli la kukandia kasoro maziwa, na uchanganye vizuri kisha tia maziwa kidogo kidogo katika mchanganyiko huo kisha ukande. Ukimaliza uweke kwenye sehemu ya joto na uache uumuke. Ukisha umuka utawanyishe katika madonge saba Kisha .pakaza mafuta au siagi katika chombo cha kuokea kisha yapange hayo madonge katika hicho chombo na uyaache yaumuke tena (kwa mara ya pili). Baada ya hapo pakaza mafuta juu ya hayo madonge na uyaoke (bake) katika oven (moto 200Β°C ) kwa muda wa dakika 25 na hapo scones au maskonzi yatakuwa tayari
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_88ekr786e43ga19c6bpu0ij9q7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Vipimo
Mchele wa pishori (basmati) - 4
Vitunguu katakata - 3
Nyanya (tungule)...
Read More
Ulaji wa mboga za majani ni muhimu kwa sababu zina vitamini na madini mengi na viwango vidogo vy...
Read More
Viamba upishi
Blue band vijiko vikubwa 2
Maziwa vikombe 2
Royco kijiko kikubwa ...
Read More
MAHITAJI
Mayai 5
Sukari 450gm (1Β lb)
Unga wa Ngano 1Β kg
Siagi 450gm (...
Read More
Mahitaji
Filigisi (chicken gizzard) 1/2 kilo
Carrot iliyokwanguliwa 1
Nyanya 1/...
Read More
Mahitaji
Nyama ya kusaga (minced beef 1/4 kilo)
Vitunguu maji vilivyokatwakatwa(dice...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga - Vikombe 2
Samli au shortening ya mboga - 2 Vijiko vya supu
<...
Read More
MAHITAJI
Unga vikombe 2 ΒΌ
Siagi 250g
Sukari kukaribia kikombe Β½ (au takriba...
Read More
Viambaupishi
- Mchele (Basmati) - 3 vikombe
- Mbogamboga za barafu (karot, njege...
Read More
VIAMBAUPISHI VYA TUNA
Tuna (samaki/jodari) - 2 Vikopo
Vitunguu (kata kata) - 4
<...
Read More
VIPIMO:
Unga wa Visheti
Unga 4 Vikombe vya chai
Siagi 1 Kikombe cha chai
<...
Read More
Mahitaji
Mihongo 3 - 4
Tui - 1000 ml
Chumvi - 1 kijiko cha chai
Kitungu...
Read More
ALLY (Guest) on March 8, 2024
NASHUKURU KWA MAARIFA UNAYOYATOA.
NAOMBA UNISAIDIE MCHANGANUO WA KUTENGENEZA SKONZI KWA KILO 25KG