Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Featured Image

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Maria Bikira Milele, na mkubwa wa Familia Takatifu. Umechaguliwa na Mwakilishi wa Kristu kama Msimamizi wa kimbingu na mlinzi wa Kanisa alilolianzisha Kristu. Ndiyo maana ninakuomba kwa matumaini makuu usaidizi wako wenye nguvu kwa ajili ya Kanisa zima duniani.

Mlinde kwa namna ya pekee, kwa upendo wa kikweli wa ki-baba, Baba Mtakatifu na Maaskofu wote na Mapadre wenye ushirika na Kiti cha Petro. Uwe mlinzi wao wote wanaotumikia wokovu wa wanadamu kati ya majaribu na mahangaiko ya maisha haya, na utujalie kwamba watu wote wa dunia hii wamfuate Kristu na Kanisa alilolianzisha.


Mpendwa Mtakatifu Yosefu, ukubali majitoleo ya nafsi yangu ambayo sasa ninafanya. Ninajiweka wakfu kwako kwa ajili ya utumishi wako, ili daima wewe uwe baba yangu, mlinzi wangu, na kiongozi wangu katika njia ya wokovu. Unijalie usafi mkuu wa moyo na matamanio makuu ya maisha ya kiroho. Unijalie ili matendo yangu yote, kwa mfano wako, yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu, pamoja na Moyo wa kimungu wa Yesu, moyo safi wa Maria, na moyo wako wa ki-baba. Uniombee, nami nishiriki kifo chako cha furaha na kitakatifu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kitine (Guest) on June 20, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Janet Sumari (Guest) on February 28, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Benjamin Kibicho (Guest) on January 25, 2024

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Malima (Guest) on November 27, 2023

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

David Chacha (Guest) on October 15, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Anna Malela (Guest) on July 23, 2023

🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu

Diana Mumbua (Guest) on June 28, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Mariam Kawawa (Guest) on June 1, 2023

Neema na amani iwe nawe.

Anna Malela (Guest) on April 26, 2023

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2023

🙏✨ Mungu atupe nguvu

James Kawawa (Guest) on November 12, 2022

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

Esther Nyambura (Guest) on November 1, 2022

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Lucy Wangui (Guest) on September 2, 2022

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

John Mwangi (Guest) on July 27, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Francis Njeru (Guest) on June 30, 2022

Nakuombea 🙏

Wilson Ombati (Guest) on May 8, 2022

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Monica Nyalandu (Guest) on May 3, 2022

🙏🙏🙏

Peter Mugendi (Guest) on May 1, 2022

🙏🌟 Mungu alete amani

Janet Mwikali (Guest) on April 21, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Joseph Njoroge (Guest) on February 16, 2022

🙏🌟❤️ Nakuombea heri

Hellen Nduta (Guest) on December 20, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on October 25, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Alex Nakitare (Guest) on October 5, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 20, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

David Ochieng (Guest) on September 3, 2021

Dumu katika Bwana.

Victor Mwalimu (Guest) on August 21, 2021

🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu

Dorothy Nkya (Guest) on July 16, 2021

Rehema zake hudumu milele

Anna Mahiga (Guest) on June 14, 2021

Mwamini katika mpango wake.

Rose Kiwanga (Guest) on June 13, 2021

🙏❤️ Mungu ni mwaminifu

John Kamande (Guest) on April 25, 2021

🙏✨ Mungu atakuinua

Robert Ndunguru (Guest) on March 2, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joyce Nkya (Guest) on January 14, 2021

🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe

Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2020

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

John Mwangi (Guest) on September 8, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

John Mwangi (Guest) on August 3, 2020

🙏🌟 Neema za Mungu zisikose

Samson Mahiga (Guest) on July 15, 2020

Baraka kwako na familia yako.

Lydia Mutheu (Guest) on July 13, 2020

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

David Sokoine (Guest) on May 17, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

Lucy Kimotho (Guest) on April 26, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Joy Wacera (Guest) on February 10, 2020

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alex Nyamweya (Guest) on February 9, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Josephine Nduta (Guest) on January 6, 2020

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

David Musyoka (Guest) on December 3, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anna Mahiga (Guest) on November 17, 2019

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Tabitha Okumu (Guest) on October 17, 2019

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Anna Mahiga (Guest) on October 16, 2019

Sifa kwa Bwana!

Janet Wambura (Guest) on August 31, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Wilson Ombati (Guest) on June 27, 2019

🙏💖 Nakusihi Mungu

Mariam Kawawa (Guest) on June 2, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Chris Okello (Guest) on February 18, 2019

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Lucy Mushi (Guest) on January 24, 2019

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Mwangi (Guest) on December 16, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Ruth Kibona (Guest) on September 5, 2018

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Ochieng (Guest) on August 27, 2018

Endelea kuwa na imani!

Lydia Wanyama (Guest) on June 8, 2018

🙏🌟 Mbarikiwe sana

Hellen Nduta (Guest) on May 26, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

John Mushi (Guest) on May 16, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Wairimu (Guest) on May 5, 2018

🙏❤️ Mungu akubariki

Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2018

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 12, 2017

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

Related Posts

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0364d56364141ea44955624ad4af12ad, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3