Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5d3bd1eebeceffe1ae7de66e77481bdc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `
`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `
K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5d3bd1eebeceffe1ae7de66e77481bdc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu...
Read More
βββ
Sala ya saa tisaππΎ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu....
Read More
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut...
Read More
Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo...
Read More
Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate...
Read More
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh...
Read More
Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More
Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw...
Read More
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya...
Read More
1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA
2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI...
Read More
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y...
Read More
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee...
Read More
Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017
πππ
David Ochieng (Guest) on July 26, 2017
Rehema zake hudumu milele
Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
John Lissu (Guest) on April 21, 2017
Amina
Elizabeth Mrope (Guest) on April 3, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Charles Mboje (Guest) on March 26, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Joseph Kawawa (Guest) on December 31, 2016
πβ€οΈβ¨ Mungu akujalie furaha
Margaret Anyango (Guest) on October 2, 2016
πβ€οΈ Mungu akubariki
Jane Muthui (Guest) on September 29, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Rose Amukowa (Guest) on June 26, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2016
ππ Mungu wetu asifiwe
Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2016
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Nora Kidata (Guest) on August 30, 2015
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
John Lissu (Guest) on August 26, 2015
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2015
πβ¨ Neema ya Mungu iwe nawe
Elizabeth Mrema (Guest) on July 12, 2015
πβ€οΈπ Baraka za Mungu ziwe nawe
Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2015
πβ¨ Mungu atupe nguvu