Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7ded92f3dc0c45f2976357ada1b01eb4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua
Date: January 17, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `
`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `
K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7ded92f3dc0c45f2976357ada1b01eb4, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa...
Read More
Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ...
Read More
Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga...
Read More
Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.
Kwenye Msalaba Sali:
...
Read More
Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B...
Read More
Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako...
Read More
Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w...
Read More
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More
Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M...
Read More
SALA YA ASUBUHI
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ...
Read More
Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017
🙏🙏🙏
David Ochieng (Guest) on July 26, 2017
Rehema zake hudumu milele
Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
John Lissu (Guest) on April 21, 2017
Amina
Elizabeth Mrope (Guest) on April 3, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Charles Mboje (Guest) on March 26, 2017
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Joseph Kawawa (Guest) on December 31, 2016
🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha
Margaret Anyango (Guest) on October 2, 2016
🙏❤️ Mungu akubariki
Jane Muthui (Guest) on September 29, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Rose Amukowa (Guest) on June 26, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2016
🙏💖 Mungu wetu asifiwe
Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2016
🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie
Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2015
Baraka kwako na familia yako.
Nora Kidata (Guest) on August 30, 2015
🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka
John Lissu (Guest) on August 26, 2015
🙏✨ Mungu asikie maombi yetu
Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2015
🙏✨ Neema ya Mungu iwe nawe
Elizabeth Mrema (Guest) on July 12, 2015
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2015
🙏✨ Mungu atupe nguvu