Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60395d56e88de47383a1a65bcb48c126, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU
Date: April 17, 2017
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama zao, dhidi ya utoaji mimba au hatari nyingine dhidi ya uhai wa binadamu)
Ee Mt. Yosefu, wewe ni Mchumba safi na Mpenzi wa Bikira Maria, u Baba Mlishi wa Yesu, mlinzi na mtunzaji wa Familia Takatifu, na wa familia zote. Tuna imani kabisa katika uangalizi wako uliojaa upendo, juu ya uhai mpya, na uaminifu wako kwa familia.
Tunaweka jitihada zetu chini ya ulinzi wa sala zako. Utusaidie daima katika kutetea zawadi ya uhai wa binadamu, ili ukue hadi uzima wa milele ulioahidiwa na kujaliwa kwetu na Mwanao, Ndugu yetu, Yesu Kristu.
Amina.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_60395d56e88de47383a1a65bcb48c126, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut...
Read More
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako....
Read More
Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar...
Read More
1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More
βββ
Sala ya saa tisaππΎ
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu....
Read More
Mungu wangu,
natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,
neema zako duniani na ...
Read More
Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh...
Read More
- Bwana utuhurumie
- Bwana utuhurumie
- Kristo utuhurumie
- Bwana utuhurumie...
Read More
Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina...
Read More
Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz...
Read More
(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na...
Read More
Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,
na kwa njia ya Damu yako azizi,
na kwa maombezi ya M...
Read More
Henry Mollel (Guest) on October 14, 2017
πππ
Joyce Aoko (Guest) on October 13, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Wilson Ombati (Guest) on September 26, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Mary Njeri (Guest) on September 2, 2017
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Betty Akinyi (Guest) on June 23, 2017
ππ Nakusihi Mungu
Henry Mollel (Guest) on April 20, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Joyce Nkya (Guest) on April 12, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
Mariam Kawawa (Guest) on January 24, 2017
Baraka kwako na familia yako.
Chris Okello (Guest) on December 13, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
John Mwangi (Guest) on November 25, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Alice Jebet (Guest) on November 19, 2016
Mwamini Bwana; anajua njia
Alice Mwikali (Guest) on November 7, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Ann Awino (Guest) on August 9, 2016
ππ Namuomba Mungu akupiganie
Faith Kariuki (Guest) on July 10, 2016
ππ Mungu alete amani
Charles Mrope (Guest) on March 21, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
Chris Okello (Guest) on October 18, 2015
Nakuombea π
Charles Wafula (Guest) on September 23, 2015
ππβ¨ Neema yako ni ya kutosha
Simon Kiprono (Guest) on September 12, 2015
Katika imani, yote yanawezekana
Mary Mrope (Guest) on September 7, 2015
πβ€οΈ Mungu ni mlinzi wetu
Rose Lowassa (Guest) on August 13, 2015
ππ Mbarikiwe sana
George Ndungu (Guest) on June 10, 2015
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Janet Sumari (Guest) on May 31, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Lydia Mahiga (Guest) on May 30, 2015
Mwamini katika mpango wake.