Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6b32fcba935ec0afb774ebc24be33358, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6b32fcba935ec0afb774ebc24be33358, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6b32fcba935ec0afb774ebc24be33358, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6b32fcba935ec0afb774ebc24be33358, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6b32fcba935ec0afb774ebc24be33358, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6b32fcba935ec0afb774ebc24be33358, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kimario (Guest) on September 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏

Peter Mwambui (Guest) on September 7, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Grace Njuguna (Guest) on September 5, 2019

😆😅😂

Kenneth Murithi (Guest) on August 27, 2019

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Esther Nyambura (Guest) on August 16, 2019

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mohamed (Guest) on June 23, 2019

😄 Kichekesho kamili!

Edward Lowassa (Guest) on June 17, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joseph Kiwanga (Guest) on June 2, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Francis Njeru (Guest) on June 1, 2019

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

James Mduma (Guest) on May 7, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Shamsa (Guest) on May 5, 2019

🤣 Hii imewaka moto!

Lucy Kimotho (Guest) on April 30, 2019

Hii ni kali sana! 😂🤣

Janet Sumari (Guest) on April 27, 2019

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Mahiga (Guest) on February 23, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Kazija (Guest) on February 9, 2019

😅 Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Were (Guest) on February 4, 2019

😂👌

Rose Mwinuka (Guest) on January 12, 2019

Hii ni joke ya maana sana! 😂👌

Richard Mulwa (Guest) on December 18, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Fadhila (Guest) on December 18, 2018

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2018

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Moses Mwita (Guest) on December 10, 2018

😂🤣😊😅

David Sokoine (Guest) on December 1, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Mwinyi (Guest) on September 20, 2018

😄 Umenishika vizuri!

Anthony Kariuki (Guest) on September 5, 2018

😊🤣🔥

Joyce Mussa (Guest) on August 8, 2018

😅😂😄

Emily Chepngeno (Guest) on August 4, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Patrick Mutua (Guest) on July 28, 2018

👏🤣😆😂

Samson Mahiga (Guest) on July 5, 2018

🤣🤣😂

James Kimani (Guest) on July 4, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅

Andrew Mchome (Guest) on June 18, 2018

Napenda jokes zenu! 😊😅

Mwagonda (Guest) on May 27, 2018

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Nancy Akumu (Guest) on May 24, 2018

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Irene Akoth (Guest) on May 19, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Frank Macha (Guest) on May 16, 2018

😂🤣😆😅

Josephine Nduta (Guest) on May 1, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Jacob Kiplangat (Guest) on April 5, 2018

🤣👍👌

Robert Okello (Guest) on March 4, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Mariam Kawawa (Guest) on February 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Grace Minja (Guest) on February 9, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂👏

David Nyerere (Guest) on February 5, 2018

😂 Kali sana!

Nancy Kabura (Guest) on February 2, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Monica Adhiambo (Guest) on January 8, 2018

😂👏😅🤣

Mwakisu (Guest) on December 19, 2017

😆 Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on November 22, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣

David Sokoine (Guest) on November 8, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

Grace Wairimu (Guest) on November 6, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Bakari (Guest) on November 6, 2017

😆 Hii imenigonga kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on October 29, 2017

😆 Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on October 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Anna Mchome (Guest) on October 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Charles Mboje (Guest) on October 5, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣

Maimuna (Guest) on September 25, 2017

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on September 24, 2017

😂 Ninashiriki mara moja!

Juma (Guest) on September 13, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Abdillah (Guest) on September 5, 2017

😆 Hiyo punchline!

Philip Nyaga (Guest) on September 4, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2017

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Monica Adhiambo (Guest) on June 14, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Peter Mugendi (Guest) on June 13, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Related Posts

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikera et nmemkubalia urafiki Leo tu Faceb... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6b32fcba935ec0afb774ebc24be33358, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3