Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_cf252056940d434900de1267d5179498, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_81a2e075bc5396e46e718c98e41de34f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_ea19e5bf75e7b6cbcb5bb75d19e113ff, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_237730db70ec913c65202fa1c570493d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4e21f8228add537524c561e555e8f3f1, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99b8e2a0f882c4de09ad19609ba0a07d, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hekima (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Rose Mwinuka (Guest) on March 24, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Kimaro (Guest) on March 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on March 8, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 3, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on March 2, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on February 12, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on January 27, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Khadija (Guest) on January 25, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Nora Kidata (Guest) on January 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Amir (Guest) on January 16, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ramadhan (Guest) on December 21, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Njoroge (Guest) on December 21, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rabia (Guest) on November 24, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 10, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Shamsa (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Tabitha Okumu (Guest) on August 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mchawi (Guest) on July 21, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nashon (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on July 15, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Sumari (Guest) on July 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mtaki (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Kawawa (Guest) on June 11, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issa (Guest) on June 1, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Mtangi (Guest) on May 3, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on April 29, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Simon Kiprono (Guest) on April 15, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Zawadi (Guest) on April 15, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on April 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on April 5, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on March 2, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on February 24, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on February 21, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on February 19, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on January 27, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Samson Mahiga (Guest) on July 29, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Musyoka (Guest) on July 6, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on July 5, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Edith Cherotich (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 1, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rose Mwinuka (Guest) on June 21, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on June 10, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Shukuru (Guest) on May 24, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samuel Were (Guest) on May 3, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 27, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Francis Njeru (Guest) on February 26, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on February 15, 2018

😊🀣πŸ”₯

Miriam Mchome (Guest) on February 4, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mary Njeri (Guest) on February 1, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Amir (Guest) on December 30, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on December 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_48ca65a45a4c49a8f9cb11b0f7be959f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact