Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_830eec85fa3c58a5de5696b52d640d3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_830eec85fa3c58a5de5696b52d640d3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_830eec85fa3c58a5de5696b52d640d3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_830eec85fa3c58a5de5696b52d640d3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_830eec85fa3c58a5de5696b52d640d3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_830eec85fa3c58a5de5696b52d640d3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edward Chepkoech (Guest) on July 20, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 18, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Lissu (Guest) on June 6, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Hekima (Guest) on March 25, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joy Wacera (Guest) on March 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on March 5, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joseph Kawawa (Guest) on February 19, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on January 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Alex Nyamweya (Guest) on November 22, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Yahya (Guest) on October 29, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Richard Mulwa (Guest) on August 26, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 9, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Victor Malima (Guest) on June 29, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on May 24, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 18, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Kitine (Guest) on April 16, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Arifa (Guest) on February 15, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rabia (Guest) on February 11, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Victor Sokoine (Guest) on January 1, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

James Malima (Guest) on December 10, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Charles Wafula (Guest) on November 25, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on November 12, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on November 9, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwafirika (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Biashara (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Betty Akinyi (Guest) on October 13, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Mrope (Guest) on October 7, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on August 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on August 26, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 3, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on August 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Kamande (Guest) on July 27, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Chiku (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Sumaye (Guest) on May 16, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on May 5, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rabia (Guest) on May 3, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mboje (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on April 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Abdullah (Guest) on April 11, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jane Muthui (Guest) on March 31, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on March 14, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on March 11, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Robert Ndunguru (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zawadi (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Ramadhan (Guest) on February 14, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on January 14, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on January 13, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Related Posts

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_830eec85fa3c58a5de5696b52d640d3f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact