Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3fa81b05b3e095032475193dae2422, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3fa81b05b3e095032475193dae2422, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3fa81b05b3e095032475193dae2422, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 3

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3fa81b05b3e095032475193dae2422, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/top_menu.php on line 14
MHUBIRI
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3fa81b05b3e095032475193dae2422, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line 4

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3fa81b05b3e095032475193dae2422, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kahina (Guest) on July 12, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on July 8, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on June 30, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mazrui (Guest) on January 26, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jacob Kiplangat (Guest) on January 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 20, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Kawawa (Guest) on January 9, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on December 21, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on November 14, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

David Chacha (Guest) on November 3, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on September 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on August 13, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on August 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on August 7, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on July 31, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Amani (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Khalifa (Guest) on June 26, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 17, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on May 25, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on April 6, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Monica Lissu (Guest) on April 5, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on March 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on March 5, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Njoroge (Guest) on February 8, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on December 28, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Irene Akoth (Guest) on December 24, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on December 18, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on December 12, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 27, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 26, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 20, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Wafula (Guest) on September 10, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Violet Mumo (Guest) on August 14, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on August 5, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Susan Wangari (Guest) on July 17, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Asha (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Mahiga (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Malima (Guest) on May 12, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on April 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8b3fa81b05b3e095032475193dae2422, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/mhubiri/bottom_menu.php on line 3