Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_saj7bpel4lcagvhjrg4cr7un41, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Madhara ya kula yai bichi
Date: July 2, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Yai bichi linaweza kuwa na vijidudu viitwavyo kwa kitaalamu βSALMONELLAβ vinavyoweza kusababisha tumbo kuuma, kichefuchefu na pia kuharisha.
Vijidudu ya βSalmonellaβ vinaweza kusababisha madhara makubwa kwa watoto, wazee na wale wenye hali dhaifu ya kimwili kama wagonjwa wa UKIMWI.
Pia yai bichi lililowazi linaweza kuwa zalio zuri la vimelea vya maradhi mbalimbali. Inashauriwa kupika yai mpaka liive kabisa, na kuhakikisha kwamba hakuna ute unaoteleza.
Kama ni yai la kuchemsha, lichemshwe kwa dakika kumi zaidi baada ya maji kuchemka. Pia ni muhimu kuhakikisha kwamba vyombo vilivyotumika k u k o rogea yai bichi vinaoshwa kwa maji na sabuni kabla ya kuvitumia tena kwa matumizi mengine ili kuepuka maradhi.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_saj7bpel4lcagvhjrg4cr7un41, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Viamba upishi
Unga 2 Viwili
Sukari ya kusaga 1/4 Kikombe
Siagi 250 gms
...
Read More
Mahitaji
Mchele - 2 vikombe
Adesi -1 Β½ vikombe
Nazi ya unga - 1 Kikombe
<...
Read More
Mahitaji
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya ...
Read More
Viamba upishi
Mashonanguo mkono 1
Tui la nazi kikombe 1
Karanga zilizosagwa kik...
Read More
Vipimo Vya Koshari
Mchele - 2 vikombe
Makaroni - 1 kikombe
Dengu za brown - 1...
Read More
Mara nyingi biringanya hutumika kama kiungo cha nyongeza katika mchuzi. Hata hivyo, kiungo hiki k...
Read More
Leo tunaangalia mapishi ya fish finger ( sijui kama unaweza kusema kidole cha samaki)!, Ni mlo mz...
Read More
VIPIMO
Mchele - 3 Vikombe
Mchicha
Mafuta - 1/2 kikombe
Vitunguu maji - ...
Read More
Mahitaji
Viazi utamu 3
Nyanya 2 kubwa
Kitunguu
Tango
Limao
Chumv...
Read More
Mahitaji
Mchele - 4 vikombe
Kuku - 1
Vitunguu - 3
Nyanya/tungule - 4Read More
Viambaupishi
Unga 300gm
Siagi 225gm
Icing Sugar 60gm
Chokoleti iliyokoz...
Read More
Mahitaji
Miguu ya kuku (chicken legs) 10
Kitunguu swaum na tangawizi (ginger & g...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!