Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0a2da0b745647a583c1de915317a58fd, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mapishi ya Biskuti Za Mayai
Date: November 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
VIAMBAUPISHI
Unga 3 Vikombe
Sukari ya unga (icing sugar) 1 Kikombe
Siagi 250 gm
Mayai 3
Vanilla 2 Vijiko vya chai
Baking powder 1 Kijiko cha chai
JINSI YA KUPIKA
Koroga siagi na sukari katika mashine ya keki (cake mixer) mpaka iwe laini (creamy).
Tia mayai na vanilla koroga mpaka mchanganyiko uwe laini.
Tia unga na baking powder changanya na mwiko.
Tengeneza round upange kwenye tray utie nukta ya rangi.
Nyunyuzia sukari juu ya hizo round ulizotengeneza kabla huja choma.
Pika (bake) katika oven moto wa 350°F kama muda wa dakika 15 hivi huku unazitazama tazama.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0a2da0b745647a583c1de915317a58fd, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jinsi ya Kujiandaa kwa Chakula cha Afya Ukiwa Safarini 🍏🥪🛫
Kuwa na lishe bora ni ...
Read More
Mahitaji
Mchele - 2 Mugs
Mboga mchanganyiko za barafu (Frozen veg) - Mug
Tuna...
Read More
Mahitaji
Tambi (Spaghetti)
Nyama ya kusaga
Kitunguu maji
Nyanya ya kopoRead More
Mahitaji
Unga wa ngano ( self risen flour) kikombe 1 na 1/2
Hamira (yeast) 1 kijiko ...
Read More
Kujifunza misingi ya upishi bora kwa afya yako ni hatua muhimu katika kuboresha maisha yako na ku...
Read More
Mahitaji
Pilipili hoho (Red pepper 3)
Cougette 1
Kitunguu (onion 1)
Uyoga ...
Read More
Mahitaji
Slice za mkate 6
Mayai 3
Chumvi
Olive oil
Matayarisho
...
Read More
Mapishi yetu leo ni kisamvu cha kuchanganya na karanga. Karibu.
Mahitaji
Majani ya ...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (nusu kilo)
Sukari (Kikombe 1 cha chai)
Chumvi (nusu kij...
Read More
MAHITAJI
Maziwa ya unga - 2 vikombe
Sukari - 3 vikombe
Maji - 3 vikombe
Read More
Viamba upishi
Unga 4 Vikombe vya chai
Sukari ya laini (icing sugar) 1 Kikombe cha chai
Ba...
Read More
Mahitaji
Choroko kikombe 1 na nusu
Nazi kopo 1
Kitunguu kikubwa 1
Nyanya 1...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!