Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_sfdutdvel5htmnj6q9rkqsoqsb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mapishi ya Biskuti Za Mayai
Date: November 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
VIAMBAUPISHI
Unga 3 Vikombe
Sukari ya unga (icing sugar) 1 Kikombe
Siagi 250 gm
Mayai 3
Vanilla 2 Vijiko vya chai
Baking powder 1 Kijiko cha chai
JINSI YA KUPIKA
Koroga siagi na sukari katika mashine ya keki (cake mixer) mpaka iwe laini (creamy).
Tia mayai na vanilla koroga mpaka mchanganyiko uwe laini.
Tia unga na baking powder changanya na mwiko.
Tengeneza round upange kwenye tray utie nukta ya rangi.
Nyunyuzia sukari juu ya hizo round ulizotengeneza kabla huja choma.
Pika (bake) katika oven moto wa 350Β°F kama muda wa dakika 15 hivi huku unazitazama tazama.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_sfdutdvel5htmnj6q9rkqsoqsb, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Vipimo Vya Wali
Mchele - 3 vikombe
Tambi - 2 vikombe
Mafuta - ΒΌ kikombe
<...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga 300gm
Siagi 225gm
Icing Sugar 60gm
Chokoleti iliyokoz...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Hamira (yeast kijiko 1 ...
Read More
MAHITAJI YA WALI
Mchele - 3 Magi
Mafuta - 1/4 kikombe
Karoti unakata refu ref...
Read More
Wali Wa Mpunga
Mchele wa mpunga - 4 Vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi - ...
Read More
Biriani ni miongoni mwa vyakula ambavyo ni nadra sana kupikwa katika familia nyingi tofauti na vy...
Read More
Mahitaji
Nyama - 2 Ratili (LB)
Chumvi - kiasi
Mafuta - 1 Kikombe
Samli ...
Read More
Viambaupishi
Mchele wa basmati - 3 vikombe
Kuku - Β½
Bilingani - 2 ya kiasiRead More
Viambaupishi: Wali
Mchele 3 Magi
Mafuta 1/4 kikombe
Karoti unakata refu refu ...
Read More
Mahitaji
Viazi mbatata (potato 4 vya wastani)
Nyama ya kusaga (mince beef 1 kikombe ...
Read More
Vipimo Vya Ugali
Unga wa mahindi - 4 vikombe
Maji - 6 kiasi
Namna Ya Kutayar...
Read More
Kujifunza misingi ya upishi bora kwa afya yako ni hatua muhimu katika kuboresha maisha yako na ku...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!