Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a2e1d7b91d027fd9d7121edce767870f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mapishi ya Wali na kuku wa kienyeji
Date: April 9, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Kuku wa kienyeji (boiler chicken 1)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Nyanya ya kopo (tin tomato 1)
Vitunguu (onion 2)
Vitunguu swaum (garlic cloves 6)
Tangawizi (ginger)
Carry powder
Binzari ya njano (Turmaric 1/2)
Njegere(peas 1/2kikombe)
Carrot iliyokwanguliwa 1
Limao (lemon 1)
Bilinganya (aubergine 1)
Chumvi
Pilipili (scotch bonnet pepper)
Mafuta (vegetable oil)
Matayarisho
Loweka mchele kwa muda wa dakika 10 na uchuje maji yote kisha chemsha maji ya moto na uweke pembeni. Kisha tia mafuta kiasi katika sufuria na ukaange vitunguu, carrot na njegere pamoja. kwa muda wa dakika 5 baada ya hapo tia turmaric na chumvi. pika kwa muda wa dakika 5 na utie mchele na maji ya moto kiasi funika na upike mpaka uive.
Chemsha kuku pamoja na limao, chumvi, kitunguu swaum na tangawizi mpaka aive kisha mweke pembeni. Saga pamoja kitunguu,kitunguu swaum, tangawizi na nyanya. Kisha bandika jikoni na uache uchemke bila mafuta mpaka maji ya kauke.Baada ya hapo tia chumvi, mafuta ,curry powder, bilinganya na kuku. Kaanga pamoja kwa muda kisha tia maji au supu ya kuku kwa kukadiria mchuzi uutakao. Acha uchemke mpaka mabilinganya yaive na hapo mchuzi utakuwa tayari kuseviwa na wali.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a2e1d7b91d027fd9d7121edce767870f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Bilinganya 2 za wastani
Nyanya kubwa 1
Kitunguu maji 1 kikubwa
Sw...
Read More
Viamba upishi
Unga 2 Vikombe
Samli au shortening ya mboga 2 Vijiko vya supu
Maz...
Read More
Nini maana ya lishe?
• Lishe yahusu mafunzo ya chakula na jinsi miili ...
Read More
• Kula chakula bora kunamaanisha kula vyakula aina tofauti ya vyakula kila siku kama vile matun...
Read More
Mahitaji
Mchele (rice vikombe 2 na 1/2)
Vitunguu (onion 2)
Nyanya ya kopo (tin ...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga - 2 Magi (vikombe vya chai)
Sukari iliyosagwa - 2/3 Magi (kikombe...
Read More
Vipimo
Mchele vikombe 3
Karoti 1 ikune (grate)
Mchicha katakata kiasi
A...
Read More
Mahitaji
Nyama - 2 Ratili (LB)
Chumvi - kiasi
Mafuta - 1 Kikombe
Samli ...
Read More
Mahitaji
Ndizi mbichi - Kisia
Nyama ng’ombe - ½ kilo
Pilipili ya kusaga - ...
Read More
Mahitaji:
Unga sembe glass 1
Unga ngano glass 1
Sukari glass 1 (unaweza kupungu...
Read More
Vipimo Vya Ugali
Unga wa mahindi - 4
Maji - 6 kiasi kutegemea na aina ya unga
Read More
Vipimo
Boga la kiasi - nusu yake
Tui zito la nazi 1 ½ gilasi
Sukari ½ kikom...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!