Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_saj7bpel4lcagvhjrg4cr7un41, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu
Date: December 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1
Yai (egg) 1
Chumvi (salt)
Mafuta (cooking oil)
Matayarisho
Tia unga, chumvi na maji kiasi katika bakuli kisha koroga mpaka madonge yote yaondoke. Baada ya hapo tia yai na vitunguu kisha koroga tena mpaka mchanganyiko wote uchanganyike vizuri. baada ya hapo choma chapati zako kama kawaida (jinsi ya kuchoma unaweza kuangalia kwenye recipe yangu ya chapati za maji katika older posts) na baada ya hapo zitakuwa tayari kwa kuliwa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_saj7bpel4lcagvhjrg4cr7un41, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Unga wa ngano ( self risen flour) kikombe 1 na 1/2
Hamira (yeast) 1 kijiko ...
Read More
Viamba upishi
Unga 4 Vikombe vya chai
Sukari ya laini (icing sugar) 1 Kikombe cha chai
Ba...
Read More
Mahitaji
Mackerel 2
Kitunguu swaum na tangawizi (ginger and garlic paste) 1 kijiko c...
Read More
Mahitaji
Ndizi mshale 10
Utumbo wa ng'ombe 1/2 kilo
Nazi ya kopo 1
Nyanya ...
Read More
Mahitaji
Mihogo kilo 1
Kidali cha kuku 1 kikubwa
Nyanya 1 kubwa
Kitunguu m...
Read More
Upishi wa Afya kwa Nishati na Nguvu 🥗💪
Kuhusu afya na lishe, ni muhimu sana kuzingat...
Read More
Viamba upishi
Nyanya 1 kg
Maji Iita ½
Chumvi kijiko kidogo 1
Sukari
<...
Read More
Mahitaji
Mchele (rice 1/2 kilo)
Nyama (beef 1/2 kilo)
Vitunguu (onion 2)
K...
Read More
Vipimo Vya Wali
Mchele Basmati - 4 vikombe
Vitunguu vya majani (Spring onions) - 5 ...
Read More
Vipimo
Wali:
Mchele mpunga - 4 Vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi...
Read More
Mahitaji
Mchele - 3 vikombe
Samaki Nguru (king fish) - 5 vipande
Vitunguu - 2...
Read More
Vipimo vya Wali:
Mchele basmati - 3 magi (kikombe kikubwa)
Mchanganyiko wa mboga za...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!