Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e512tcknrfclmbq5m4qr0l94qc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Nimwambie nini mtu anayejaribu kunishawishi nijihusishe na makundi ya watu wanaokunywa pombe na wavutaji sigara?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kama umeamua kutovuta sigara wala kunywa pombe ni uamuzi
mzuri sana na wa kiafya. Ni haki yako binafsi kuchukua uamuzi
huu, kama vile watu wengine pia wanavyoruhusiwa kufanya
maamuzi kuhusu maisha yao wenyewe.
Mara nyingine ni vigumu sana, lakini kama umeamua hutaki
kujiunga na kundi la watu wavutao sigara au kunywa pombe ni
muhimu kusema hivyo. Jaribu kuwa wazi na kusema HAPANA.
Jaribu kueleza kwamba unataka kuishi maisha yenye afya bila
kutumia pombe na sigara na uwaeleze rafiki zako ni kwa nini.
Waambie kuwa unajua unachokifanya na kwamba umeridhika
kuwa uvutaji sigara na unywaji pombe unahatarisha afya yako,
unagharimu fedha nyingi na kukuzuia kufikia malengo yako.
Kama umeridhika na kuwathibitishia watu hao, hawatakusumbua
tena. Na kama unatafuta rafiki usisahau: Rafiki ni mtu anayejali,
kulinda na kuthamini maisha ya mwenzake! Kwa hivyo, ni kwa
vipi mtu ambaye anayekushawishi ufanye kitu cha kudhuru
afya yako kwa kusudi na haheshimu maamuzi yako awe rafiki
wa kweli?
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_e512tcknrfclmbq5m4qr0l94qc, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kama mwanaume, kuna mambo mengi ambayo unaweza kufanya ili kuonyesha msichana wako kuwa ana thama...
Read More
Njia za Kujenga Uwezo wa Kusamehe na Msichana katika Uhusiano
Uhusiano ni kitu kizuri sana...
Read More
Habari za leo wapenzi wangu! Nami nina furaha sana kuwa hapa leo kuongelea kuhusu swala la ngono ...
Read More
-
Anza kwa Kujijenga Kimaumbile
Kabla ya kumwomba msichana tarehe ya ushirikiano, ni muhi...
Read More
Hapa Tanzania matumizi, umilikaji, usafirishaji na kuhusika katika dawa za kulevya kama vile bang...
Read More
Pombe huingia kwenye damu na kuzunguka mwili mzima pamoja
na kwenye ubongo wako. Ina madhara...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Aibu Kuhusu Ngono 🌟
Karibu vijana wenzangu! Leo, tutaj...
Read More
Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono? 🌟
Asante kwa ku...
Read More
Unywaji wa pombe ni sehemu ya utamaduni wa Tanzania na nchi
nyinginezo duniani.
Watu h...
Read More
Je, Ni Vipi Kukabiliana na Hisia za Kutokuwa Tayari kwa Ngono? 🌺
-
Suala la his...
Read More
Wanaume wengi huwa na shida katika kuongea na wanawake, hasa katika mazungumzo ya kina. Hii mara ...
Read More
Kizinda ni kiwambo laini kinachokuwepo ndani ya uke. Kiwambo hiki kina tundu katikati i i ili kuw...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!