Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0ffe440ef68e46563abbf91a8d8ac84b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwa
kujamiina atakuwa
amebakwa, haijalishi kama
mtu huyu ni mwanamke/
msichana, mwanaume au
mvulana.
Wavulana na wanaume
wanaweza kubakwa na
wanaume wenzao au wanaweza
kulazimishwa na mwanamke
kujihusisha na tendo la
kujamiiana. Wanaume wanaweza
kulazimisha wavulana
kujamiiana kwa njia ya mdomo
au njia ya haja kubwa. Kisheria hapa Tanzania tukio kama
hili linajulikana kama kulawiti.
Matatizo/matokeo ya kulawiti kwa wavulana ni sawa na yale
yanayopatikana kwa wasichana. Wavulana wanaweza kuumizwa
vibaya zaidi wakati wa kujamiiana na pia kuchanganyikiwa,
kiwewe, na kwa wavulana wanapata madhara zaidi.
Sheria hapa Tanzania12 haziko wazi juu ya ubakaji kwa wavulana
hata hivyo wanatambua mahusiano ya ushoga/ubasha kuwa ni
kosa la jinai.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_0ffe440ef68e46563abbf91a8d8ac84b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ndiyo, baada ya muda fulani karibia watu wote wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI wataanza kuug...
Read More
Kuwa na uhusiano wenye furaha na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anatamani. Lakini mara ny...
Read More
Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi...
Read More
Leo tutaongelea kuhusu umuhimu wa kujadili mipaka ya faragha katika uhusiano wa ngono au kufanya ...
Read More
Je, Ni Vipi Kujilinda na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende? 😊
Karibu, vijana wapendwa!...
Read More
Leo tutazungumzia juu ya jinsi ya kuonyesha mapenzi kwa msichana wako. Ingawa kuna njia nyingi to...
Read More
Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea.
Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unawe...
Read More
Punyeto ni kupapasa au kusugua kiungo cha uzazi ili uweze kupata
starehe. Hakuna kosa kwa te...
Read More
Hakuna madhara yoyote ya msingi anayopata mtu asipooga baada ya kujamiiana. Isipokuwa kwa ajili y...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono? 😊🙌
Leo tutajadili j...
Read More
Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha ka...
Read More
Watu wengi katika jamii hawana uelewa unaotosheleza kuhusu
ulemavu wa ngozi na ulemavu wa ma...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!