Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a9204ff20e8c97aa812b05d7d0c60cea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwa
kujamiina atakuwa
amebakwa, haijalishi kama
mtu huyu ni mwanamke/
msichana, mwanaume au
mvulana.
Wavulana na wanaume
wanaweza kubakwa na
wanaume wenzao au wanaweza
kulazimishwa na mwanamke
kujihusisha na tendo la
kujamiiana. Wanaume wanaweza
kulazimisha wavulana
kujamiiana kwa njia ya mdomo
au njia ya haja kubwa. Kisheria hapa Tanzania tukio kama
hili linajulikana kama kulawiti.
Matatizo/matokeo ya kulawiti kwa wavulana ni sawa na yale
yanayopatikana kwa wasichana. Wavulana wanaweza kuumizwa
vibaya zaidi wakati wa kujamiiana na pia kuchanganyikiwa,
kiwewe, na kwa wavulana wanapata madhara zaidi.
Sheria hapa Tanzania12 haziko wazi juu ya ubakaji kwa wavulana
hata hivyo wanatambua mahusiano ya ushoga/ubasha kuwa ni
kosa la jinai.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a9204ff20e8c97aa812b05d7d0c60cea, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, kuna umuhimu wa kuzungumzia kuhusu ngono/kufanya mapenzi ya salama na kinga dhidi ya magonjwa...
Read More
Albino wana ngozi nyeupe, nywele nyeupe au nyekundu na macho
ya kijivu au ya bluu. Ngozi yao...
Read More
Watu wengi katika jamii hawana uelewa unaotosheleza kuhusu
ulemavu wa ngozi na ulemavu wa ma...
Read More
Unywaji wa pombe ni sehemu ya utamaduni wa Tanzania na nchi
nyinginezo duniani.
Watu h...
Read More
Ndiyo. Unaweza kufa kutokana na kuvuta sigara au kunywa
pombe. Lakini pale tu utakapozidisha...
Read More
Habari zenu wapenzi wa Mapenzi! Kuna umuhimu mkubwa sana wa kujadili maoni na mitazamo yako kuhus...
Read More
Imani iliyojengeka kwenye jamii kuwa Albino wana uwezo
mdogo si ya kweli. Ipo mifano mingi y...
Read More
Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya m...
Read More
Msichana anaweza kupata mimba akijamii ana mara moja tu. Inategemea na mzunguko wa hedhi. Kama nd...
Read More
Dalili moja i iliyo wazi zaidi ni kukosa hedhi. Mwanamke akijamii ana na mwanaume bila kutumia kinga...
Read More
Kuishi kwa kushindwa kuona sawasawa ni changamoto ya
msingi waliyonayo Albino, inaathiri eli...
Read More
Jambo la msingi ni kutokukata tamaa na kuwa na matumaini. Mara nyingine i inasaidia kama utakuwa ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!