Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c12b18c5b7f4ecee1378c226e6536c4f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Ndoa ya kulazimishwa
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndoa ya kulazimishwa ni ile ambayo mwanamume au mwanamke
anaozwa bila yeye mwenyewe kukubali kufunga ndoa kwa
hiari yake. Katika mazingira hayo wasichana au wavulana
wanalazimishwa kufunga ndoa. Wakati mwingine wazazi wanafikiri
wanajua nini kizuri kwa watoto waona hivyo kuwachagulia mume
au mke.
Mara nyingi wazazi wanafikiria mambo ya uchumi na
kijamii katika kumchagulia
msichana au mvulana nani
amwoe.
Wanaweza kujaribu kumwoza
mtoto wao katika familia
ya kitajiri. Sababu nyingine
inayolazimisha mtu kuoa
ni mimba. Iwapo binti,
amepata mimba yeye na
mvulana aliyempa mimba
wanalazimishwa kufunga
ndoa kwa sababu baadhi ya
jamii hazikubali watoto wa
nje ya ndoa. Mara nyingine vijana wanalazimishwa kuoa kwa sababu
wamefikia umri ambao jamii inawategemea kuoa. Mara nyingi kuna
utii wa amri ya kuoa kwa vile mvulana au msichana anaogopa
kutengwa na kufukuzwa na mara nyingine anatishiwa, mateso
na unyanyasaji wa kimwili.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c12b18c5b7f4ecee1378c226e6536c4f, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Uaminifu ni tabia muhimu sana katika uhusiano wako na msichana. Kama unataka uhusiano wako ufanye...
Read More
Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote ya kiafya ukikaa muda mrefu bila kujamii ana. Hakuna madha...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Hatia Baada ya Kufanya Ngono
Karibu vijana wapendwa! Leo,...
Read More
Kugusana kwa kutumia viungo vya uzazi ni njia mojawapo ya kuamsha hisia ya kujamii ana. Kama mwan...
Read More
Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la βcareβ na βLady Petetaβ. Hapa Tanzania hazipatika...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono ππ‘οΈ
Karibu kijana...
Read More
Hakuna uchunguzi wa kisayansi ambao umeonyesha faida
yoyote inayopatikana kwa kuua Albino.Read More
Je, mimba hupatikanaje?
Ukitaka kuelewa jinsi mimba i inavyopatikana, lazima uelewe mzung...
Read More
Kila mtu anapenda kuwasiliana na mtu mwingine kwa ujasiri na uhakika, hasa wanapojaribu kuwasilia...
Read More
Habari rafiki yangu! Leo tutaongea kuhusu umuhimu wa kuzungumza waziwazi juu ya ngono na kufanya ...
Read More
Hapana. Albino wote hawafanani, wanatofautiana kufuatana na
kiasi cha melanini walicho nacho...
Read More
Habari zenu wapenzi wa blog hii! Leo tutaangazia swali moja la kuvutia sana ambalo huenda linawas...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!