Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5c8198954fbe5e14406b800908406b6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Ndoa ya kulazimishwa
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndoa ya kulazimishwa ni ile ambayo mwanamume au mwanamke
anaozwa bila yeye mwenyewe kukubali kufunga ndoa kwa
hiari yake. Katika mazingira hayo wasichana au wavulana
wanalazimishwa kufunga ndoa. Wakati mwingine wazazi wanafikiri
wanajua nini kizuri kwa watoto waona hivyo kuwachagulia mume
au mke.
Mara nyingi wazazi wanafikiria mambo ya uchumi na
kijamii katika kumchagulia
msichana au mvulana nani
amwoe.
Wanaweza kujaribu kumwoza
mtoto wao katika familia
ya kitajiri. Sababu nyingine
inayolazimisha mtu kuoa
ni mimba. Iwapo binti,
amepata mimba yeye na
mvulana aliyempa mimba
wanalazimishwa kufunga
ndoa kwa sababu baadhi ya
jamii hazikubali watoto wa
nje ya ndoa. Mara nyingine vijana wanalazimishwa kuoa kwa sababu
wamefikia umri ambao jamii inawategemea kuoa. Mara nyingi kuna
utii wa amri ya kuoa kwa vile mvulana au msichana anaogopa
kutengwa na kufukuzwa na mara nyingine anatishiwa, mateso
na unyanyasaji wa kimwili.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5c8198954fbe5e14406b800908406b6e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Wakati wa makuzi au kipindi cha kubalehe, wavulana hupitia mabadiliko mbali...
Read More
Hakuna jambo gumu kama kusuluhisha tofauti za maoni katika uhusiano wako na msichana wako. Wakati...
Read More
Virusi vya UKIMWI kwa kiasi kikubwa vinaenea kwa njia ya kujamii ana. Kama mtu ana wapenzi wengi ...
Read More
Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ...
Read More
Je, mwanamke anaweza kufikia mshindo?
Ndiyo, mwanamke anaweza kufikia mshindo wakati wa kuj...
Read More
Leo tutazungumzia kuhusu vidokezo vya kuonyesha heshima kwa ndugu za msichana wako. Kama mwanaume...
Read More
Je, nini imani ya watu katika kutumia mawasiliano ya kimwili kama ishara ya mapenzi wakati wa ngo...
Read More
Jambo la muhimu ni kuwasiliana kwa karibu i ili kuelewa mawazo na matatizo ya rafiki yako. Hakiki...
Read More
Je, ni lazima kufanya ngono kwa sababu ya marafiki au shinikizo za kisiasa? 🤔
Ndugu vij...
Read More
Matumizi mabaya ya pombe ndiyo yanayosababisha kuenea kwa
VVU au magonjwa mengine yatokanayo...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Uaminifu kuhusu Ngono? 🌟
Karibu kwa makala hii...
Read More
Kupata mazungumzo ya kuvutia kwa msichana unayempenda kunaweza kuwa changamoto kubwa kwa wanaume ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!