Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_oea0tth412arsov1e56d03a32o, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI, anaweza kuzaa mtoto?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Na anaweza kumwambukiza mtoto aliye tumboni au wakati wa kumnyonyesha?
Ndiyo, mama mwenye virusi vya UKIMWI na UKIMWI anaweza kubeba mimba kama mwanamke mwingine yeyote. Ila ni muhimu kukumbuka kwamba kuna uwezekano wa mtoto kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI.
Lakini siyo watoto wote waliozaliwa na mama mwenye maambukizi watabeba virusi. Kuwa moto ataambukizwa au hataambukizwa i itategemea na i idadi ya virusi ambavyo viko kwenye damu ya mama na sababu nyingine. Tafiti zimeonyesha kwamba watoto wawili kati ya watoto watatu waliozaliwa na akina mama wenye maambukizi ya Virusi huambukizwa na hivyo virusi.
Pamoja na hayo, mama mwenye virusi vya UKIMWI anaweza kumwambukiza mtoto wake wakati wa kumnyoshesha kwa sababu ya kuwepo virusi kwenye maziwa ya mama. Akina mama walio na maambukizi ya UKIMWI na UKIMWI wanashauriwa kuacha kuzaa na kutumia njia za uzazi wa mpango
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_oea0tth412arsov1e56d03a32o, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, ni vipi kuepuka shinikizo la kufanya ngono? Hii ni swali ambalo vijana wengi hujikuta wakijiu...
Read More
Mazungumzo ni sehemu muhimu katika uhusiano wowote wa kimapenzi. Lakini kuna wakati mazungumzo ya...
Read More
-
Je, unajiamini wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi? Swali hili limewahi kuulizwa ma...
Read More
Je, umewahi kujiuliza watu wana amini nini katika kutumia vifaa vya ngono/kufanya mapenzi? Kuna m...
Read More
Virusi hivi vinakaa katika chembechembe nyeupe zilizopo kwenye majimaji ya mwili i wa binadamu ha...
Read More
Hakuna jambo gumu kama kusuluhisha tofauti za maoni katika uhusiano wako na msichana wako. Wakati...
Read More
Karibu kwenye nakala hii ambayo tunaangazia imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako...
Read More
Unaweza kufanya uchunguzi wa kutosha kuhusu tabia, muono na imani ya rafiki yako hata kama mnaish...
Read More
Watu wengi katika jamii hawana uelewa unaotosheleza kuhusu
ulemavu wa ngozi na ulemavu wa ma...
Read More
-
Macho ya msichana
Macho ya msichana ni njia moja wapo ya kujua iwapo msichana anavutiwa...
Read More
Ndoa ya kulazimishwa ni ile ambayo mwanamume au mwanamke
anaozwa bila yeye mwenyewe kukubali...
Read More
Ndiyo, utaweza kuvipata virusi vya UKIMWI. Uwezekano wa kuambukizwa hautegemei umri wa mpenzi wak...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!