Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8e83974fe8345b6de15862f3f0665c52, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Kuna athari gani za mimba za utotoni hasa kwa kijana Albino?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Katika masuala ya athari za mimba katika umri mdogo ni
kwamba vijana Albino hawana tofauti na vijana wengine . Bado
inashauriwa na kutiliwa mkazo umuhimu wa msichana kutopata
mimba akiwa na umri chini ya miaka 18.
Sababu kubwa ikiwa ni
kuwa mwili wa msichana
ambaye umri wake ni chini
ya miaka 18 haujakomaa
vya kutosha kuweza
kuhimili ujauzito bila
matatizo. Katika umri huu
mdogo, uwezekano mkubwa
wa kupata matatizo
yanayotokana na ujauzito,
hasa wakati wa kujifungua.
Uzoefu umeonyesha
kuwa mara nyingi wakati
wa kujifungua mtoto
anashindwa kutoka na
inabidi mama afanyiwe
upasuaji. Pia katika
umri huu uwezekano ni
mkubwa mtoto kuzaliwa
njiti (hajafikia muda wa
kuzaliwa).
Tatizo jingine linaweza kutokea pale ambapo kichwa cha mtoto
ni kikubwa au mama anakuwa na uchungu wa muda mrefu na
kusababishwa kuchanika kwenye mfumo wa uzazi kwenye njia
ya haja ndogo au hata na njia ya haja kubwa na mama kupata
fistula. Hali hii ikitokea itamfanya mama hatimaye awe anavuja
ama haja ndogo au haja kubwa au vyote viwili kupitia njia ya
ukeni.
Mbali na madhara haya ya kiafya, msichana anaweza kupata
matatizo mengine ya kijamii kama vile kufukuzwa shule,
kusababisha ugomvi ndani ya familia na jamii. Kwa mantiki hii,
ni muhimu kwa vijana kusubiri hadi kufikia miaka 18 wakiwa
tayari kuchukua / kubeba majukumu kama wazazi.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8e83974fe8345b6de15862f3f0665c52, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Leo kwenye makala hii, tutazungumzia vidokezo vya kuwa na mawasiliano ya kuaminika na msichana. N...
Read More
Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwa
kujamiina atakuwa
amebakwa, haijalishi kama
mtu ...
Read More
Inawezekana kwa msichana mdogo kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwenye umri mkubwa. Hata...
Read More
Salamu! Karibu kwenye makala ya leo kuhusu mbinu za kujizuia mimba wakati wa ngono. Ni jambo muhi...
Read More
Virusi vya UKIMWI kwa kiasi kikubwa vinaenea kwa njia ya kujamii ana. Kama mtu ana wapenzi wengi ...
Read More
Kuna aina nyingi za unyanyasaji wa jinsia na unaweza kutokea
kwa wote wanaume na wanawake. Kwa kawai...
Read More
Kupasuka kwa kondomu mara nyingi kunasababishwa na kondomu kutowekwa vizuri uumeni. Ni muhimu san...
Read More
Ni vigumu kuelewa nini kinamfanya mtu aweze kubaka mwingine.
Ubakaji ni aina nyingine ya uka...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili matarajio ya ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano? Swali hili ni mo...
Read More
Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako
Kupanga tarehe ya kipekee na msichana ...
Read More
Jambo la kwanza jaribu kumwondoa hofu mwathiriwa na
muliwaze maana amepata jambo la kutisha....
Read More
Ndiyo hatari kuu ya matumizi ya dawa za kulevya ambayo
unayazoea na kufikiri huwezi kufanya ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!