Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6f65c94b93b42ab57b7df03127ac1853, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/display_user.php on line
4
Nifanyeje ili niepukane na kuwa mgumba?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Sababu kuu ya ugumba unayoweza kujisababishia ni kupata magonjwa ya zinaa. Unaweza kuepuka kuwa mgumba kwa njia ya kuzuia kuambukizwa magonjwa ya zinaa. Magonjwa ya zinaa unaweza kuyazuia kwa njia ya kutojamii ana au kwa njia ya kutumia kondomu kila unapojamii ana. Kuna sababu nyingine za ugumba, nyingine unaweza kuzisababisha na nyingine ni za kimaumbile yako tangu ulipozaliwa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_6f65c94b93b42ab57b7df03127ac1853, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/mhubiri/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Imani hiyo si kweli kabisa. Inawezekana ni kupotoshwa kwa
makusudi wa ukweli kuhusu jambo hi...
Read More
Katika masuala ya athari za mimba katika umri mdogo ni
kwamba vijana Albino hawana tofauti n...
Read More
Je, kuna umuhimu wa kuzungumzia kuhusu ngono/kufanya mapenzi ya salama na kinga dhidi ya magonjwa...
Read More
Ndiyo, baada ya muda fulani karibia watu wote wenye maambukizi ya Virusi vya UKIMWI wataanza kuug...
Read More
Jinsi ya Kujielewa na Kuelewa Miili Yetu kabla ya Kujihusisha na Ngono 😊😊😊
Karibu...
Read More
Kwa mwanaume, dalili ya kufikia mshindo ni uume kusimama halafu kumwaga manii . Manii kutotoka wakat...
Read More
Kila mwanamume anapenda kujua kama msichana anayempenda anahisi hivyo hivyo kumhusu. Lakini sio k...
Read More
Kwa nini ni Lazima Kufanya Ngono na Mtu Mmoja Tu? 🌸
Asante kwa kujiunga nami katika mak...
Read More
Kuna baadhi ya vidokezo ambavyo vinaweza kukusaidia:
1. Usikae faragha na mwenzi wako kabla hujawa t...
Read More
Njia za Kusuluhisha Mazungumzo ya Mgawanyiko katika Uhusiano wako na Msichana
Kila uhusian...
Read More
Kuelewa na kuheshimu mipaka ya kisaikolojia katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi ni muhimu sa...
Read More
Kwa kawaida mtu anapoamua kwenda kupima mara nyingi anakuwa na sababu za kumfanya ahisi kuwa au k...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!